Yuko wapi Johnthebaptist?

Ile ni account ya wana Lumumba
Huwa wanasoma magazeti na kunywa kahawa hapo CCCM Dodoma ni wastaafu flani hupeanaga vihadithi vya uongo na ukweli
 
Hali ni Tete Lumumpa,

Ni muhimu warudi darasani kutafuta namba ya kumkabili, ukiangalia candidate wa kijani ni dhaifu sana ulingoni!
Huyo mimi CCM lakini huyo huzushia uzushi hadi CCM
Chadema na nyie kutwa huwa anawazushia

Nadhani CCM na Chadema na tofauti zetu kuna siku tukubaliane kuacha tofauti zetu kuhusiana na huyu tuchange hela nusu kwa nusu tukodi matarumbeta na ngoma ya mdundiko ya kibati kumzomea na kumsuta mtaani kwake hadi kwake kuwa aache uzushi kuzushia Chadema na CCM
 
Amesalimu amri kachoka kuona anatoka povu hamna faida, teuzi hapati!!
 
Utakuwa huna KAZI ya kufanyaπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…