Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Umemsahau na kiranja wa wahariri,alinisikitisha,na alisikitisha kila mwenye kuujua ukweli kuhusu taifa letu.Alinidisapoint sana siku ya mkutano wa Lisu na press huyo jamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau na kiranja wa wahariri,alinisikitisha,na alisikitisha kila mwenye kuujua ukweli kuhusu taifa letu.Alinidisapoint sana siku ya mkutano wa Lisu na press huyo jamaa.
Ile ni account ya wana LumumbaKada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Yeye huwa mzushi kila upande huwa haeleweki yuko CCM au Chadema kote hupiga uzushi tuAlinidisapoint sana siku ya mkutano wa Lisu na press huyo jamaa.
Huyo mimi CCM lakini huyo huzushia uzushi hadi CCMHali ni Tete Lumumpa,
Ni muhimu warudi darasani kutafuta namba ya kumkabili, ukiangalia candidate wa kijani ni dhaifu sana ulingoni!
Amesalimu amri kachoka kuona anatoka povu hamna faida, teuzi hapati!!Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Utakuwa huna KAZI ya kufanya😀Huyo mimi CCM lakini huyo huzushia uzushi hadi CCM
Chadema na nyie kutwa huwa anawazushia
Nadhani CCM na Chadema na tofauti zetu kuna siku tukubaliane kuacha tofauti zetu kuhusiana na huyu tuchange hela nusu kwa nusu tukodi matarumbeta na ngoma ya mdundiko ya kibati kumzomea na kumsuta mtaani kwake hadi kwake kuwa aache uzushi kuzushia Chadema na CCM
Kilolo,mafinga au wapi?Yupo kwao iringa anagema ulanzi
Sio Chiembe anapo muulizia John?John anapomuulizia John
KiloloKilolo,mafinga au wapi?
Asiache kubeba nakurudi nayo kwa ajili ya rafiki zaka msimu huu utakapo kuwa umekamilika.Tupo kwao iringa anagema ulanzi
Kilolo