Yuko wapi Johnthebaptist?

Ngoja nianze kuanza Msako katika Mochwari mbalimbali Afrika Mashariki na Kati.
 
johnthebaptist alikuwa idara ya propaganda ya gazeti la Uhuru, nachokoza tu.
 
Au Yeye Ndiye Mzee Msuya kaweka simu chini alikuwa na ugeni mkubwa
 
Serious huyu mtu Yuko wapi?
 
What if John ndiye Mh Freeman Mbowe? Maana baada ya uchaguzi akapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…