Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kati wa wana JF tunaojulikana sio watu wa masikhara na uchawa nadhani mmoja wao ni mimi. Misimamo yangu inajulikana humu kwa miaka 10 sasa. Usitie shakaNingeumia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati wa wana JF tunaojulikana sio watu wa masikhara na uchawa nadhani mmoja wao ni mimi. Misimamo yangu inajulikana humu kwa miaka 10 sasa. Usitie shakaNingeumia sana
Mushambwa alikula tenda ya kukusanya Ngozi na Vichwa vya mbuziBila shaka alikula Tenda ya kuchoma nyama pale Ar Chuga.John ze baptist popote ulipo nyoosha mkono watu wakuone.
MdabuloKilolo,mafinga au wapi?
Ngoja nianze kuanza Msako katika Mochwari mbalimbali Afrika Mashariki na Kati.Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
johnthebaptist alikuwa idara ya propaganda ya gazeti la Uhuru, nachokoza tu.Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Namjua yule, ID moja CCM nyingine CHADEMA. kwikwi... anavuta mchongo kote koteJuzi kati alikuja kujiulizia kwa ID nyingine baada ya kumshitikia akatoka nduki😃
Au Yeye Ndiye Mzee Msuya kaweka simu chini alikuwa na ugeni mkubwaKada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
BoraBingwa wa maada za kizushi na kuleta masihara kwenye ishu serious
Nilimuignore kitambo, kumbe kapotea.
Yohana mbatizaji afunga Ramadhani au kwaresma ?!Kafunga Ramadhani uzushi mwezi wa Ramadhani haukubaliki kawa imamu ghafla mwezi huu
Mwezi wa Ramadhani ukiisha tu atarudia uzushi wake Inshalah
Serious huyu mtu Yuko wapi?Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Inawezekana ni sehemu ya fadhila ya kazi ya uchawaMushambwa alikula tenda ya kukusanya Ngozi na Vichwa vya mbuzi
Ulanzi huo huo ama?Watoto wake wamempeleka sober house alikuwa amefika stage mbaya sana ya ulevi, ataonekana tena baada ya miezi sita
Utasikia Enzi zile tukiwa JKT Miaka ya TANU😅😅😅Ile ni account ya wana Lumumba
Huwa wanasoma magazeti na kunywa kahawa hapo CCCM Dodoma ni wastaafu flani hupeanaga vihadithi vya uongo na ukweli
Hata rafiki zake akima Mushambwa washindwe kusema angalao apate pole za wanajukwaa?Pengine anaumwa
What if John ndiye Mh Freeman Mbowe? Maana baada ya uchaguzi akapotea.Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?