Yuko wapi Johnthebaptist?

Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani- Kikwete
 
John John John sijui amepotelea wapi,labda kai aliyotumwa ya kumwondoa Mbowe uenyekiti ameifanikisha na atakuwa ametunukiwa zawadi kubwa huko aliko.
 
Unajitahidi kweli lakini kila kona unaangukia pua😀😀😀😀
Umeteleza kwa kauli yako unajifariji kwa kujichekesha kuonyesha kumbe upande wa pili wa chadema kuna kikosi kazi cha kuteka na kupoteza watu kisa uchaguzi wa mwenyekiti!
 
Ngoja tumuulize marehemu wassira yupo wapi huyo marehemu mwenzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…