UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Wewe ndiye umesema "... anavuta michongo...", hiyo ni present tense, siyo past tense bwashee!Labda enzi za Mwamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye umesema "... anavuta michongo...", hiyo ni present tense, siyo past tense bwashee!Labda enzi za Mwamba.
Vidole huwa vinateleza.Wewe ndiye umesema "... anavuta michongo...", hiyo ni present tense, siyo past tense bwashee!
Ni kweli kabisa huko Chamani kila mtu anamlia timing mwenzie ateleze ili yeye apande juu Angalau kidogo !Hivi unadhani wanapendana kama mapacha? Hao ni kama wake wenza
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani- KikweteKada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Hiy inaendelea na haitokaa iishe kamwe !Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani- Kikwete
Ni kweli kiusalama na afya ..je ni kweli hayo aliyosema mleta mada chadema wamepita na member mwenzetu?Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani- Kikwete
John John John sijui amepotelea wapi,labda kai aliyotumwa ya kumwondoa Mbowe uenyekiti ameifanikisha na atakuwa ametunukiwa zawadi kubwa huko aliko.Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Umeteleza kwa kauli yako unajifariji kwa kujichekesha kuonyesha kumbe upande wa pili wa chadema kuna kikosi kazi cha kuteka na kupoteza watu kisa uchaguzi wa mwenyekiti!Unajitahidi kweli lakini kila kona unaangukia pua😀😀😀😀
Duuh..John John John sijui amepotelea wapi,labda kai aliyotumwa ya kumwondoa Mbowe uenyekiti ameifanikisha na atakuwa ametunukiwa zawadi kubwa huko aliko.
Ngoja tumuulize marehemu wassira yupo wapi huyo marehemu mwenzie.Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Au wameshamnywesha sumu wenzake? Ila mtaalam wa kazi hizo yuko Uzaramoni siku hizi.Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani- Kikwete