Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Ukiwa na muda,zaidi katika umri wa uzeeni,kawaida ni muda wa kulea wajukuu,na kufahamiana na wajukuu ambao hukubahatika kuwajua kwa sababu ya mambo mengi 🤔Huyu jamaa alistahili kuwa waziri wa mambo ya ndaniView attachment 2564786
Isije kuwa tu,kama walimchukia wamempeleka Burundi tayari 🤔.Polisi walimchukia sana huyu bwana ila aliwapelekea moto balaa. Alikuwa anatembelea hadi vituo vya polisi vya mtaani.
Huyu jamaa alistahili kuwa waziri wa mambo ya ndaniView attachment 2564786
Umejileta ukumbukwe.Yuko wapi Kangi Lugola? Aliwanyoosha Polisi kwa uonevu. IGP Sirro akaomba msaada Ikulu ili aondolewe uwaziri. Maarufu kama Mabendera ya taifa, huyu jamaa alistahili kuwa waziri wa mambo ya ndani.
View attachment 2564786
Dah jamaa umeitunza.
Vizuri havipotei , kila kilichowekwa JF bado kipoDah jamaa umeitunza.
Kangi ibn lugolaYuko wapi Kangi Lugola? Aliwanyoosha Polisi kwa uonevu. IGP Sirro akaomba msaada Ikulu ili aondolewe uwaziri. Maarufu kama Mabendera ya taifa, huyu jamaa alistahili kuwa waziri wa mambo ya ndani.
View attachment 2564786
Umwamba wa MH.MBOWE aumwondoi kuwa mwamba kwa sababu alikuwa DJ umepata tuzo ya siasani basi leta vitu vyenye mantiki
Kwani wao hawakunywa maji ya rangi ya bendera ya taifa 😂Polisi na hasa wale wa wabrashi viatu kwa pesa zetu walifanya sherehe kubwa alipotumbuliwa.
Last time nimemuona ilikuwa ni kwenye video anawatahadharisha wadudu kwenye miti yake ya mikorosho. Aliwapa siku 3 wale wadudu wawe wameondoka wenyewe ama wapambane na nguvu na hasira za bwana Kangi na familia yake wakiwa wamejidhatiti vilivyo na dawa hatari sana za kuuwa wadudu waharibifu wa mazaoYuko wapi Kangi Lugola? Aliwanyoosha Polisi kwa uonevu. IGP Sirro akaomba msaada Ikulu ili aondolewe uwaziri. Maarufu kama Mabendera ya taifa, huyu jamaa alistahili kuwa waziri wa mambo ya ndani.
View attachment 2564786
Hao ni njaa tu mkuu. Waliona anawazibia riziki.Kwani wao hawakunywa maji ya rangi ya bendera ya taifa 😂