Yuko wapi Kangi Lugola?

Yuko wapi Kangi Lugola?

Last time nimemuona ilikuwa ni kwenye video anawatahadharisha wadudu kwenye miti yake ya mikorosho. Aliwapa siku 3 wale wadudu wawe wameondoka wenyewe ama wapambane na nguvu na hasira za bwana Kangi na familia yake wakiwa wamejidhatiti vilivyo na dawa hatari sana za kuuwa wadudu waharibifu wa mazao
Kumbe wazee ni wakulima wazuri wa korosho,hata mzee wa Galilaya ni mkulima wa korosho 🏃
 
Yuko wapi Kangi Lugola? Aliwanyoosha Polisi kwa uonevu. IGP Sirro akaomba msaada Ikulu ili aondolewe uwaziri. Maarufu kama Mabendera ya taifa, huyu jamaa alistahili kuwa waziri wa mambo ya ndani.

View attachment 2564786
Waziri msanii na mwizi kama wengine Hana maajabu. Mipango ya kununua drones za zimamoto Kwa bei ya mchongo ilipogundulika akapigwa chini. Akiwa Polisi na nyota 3 alikuwa uwanja wa ndege na ndipo alipoachia kazi akikimbia tuhuma akakimbilia siasa. Kwa Sasa hata Udiwani kata ya Kibara hapati.
 
Waziri msanii na mwizi kama wengine Hana maajabu. Mipango ya kununua drones za zimamoto Kwa bei ya mchongo ilipogundulika akapigwa chini. Akiwa Polisi na nyota 3 alikuwa uwanja wa ndege na ndipo alipoachia kazi akikimbia tuhuma akakimbilia siasa. Kwa Sasa hata Udiwani kata ya Kibara hapati.
Anaweza pata,🤔wanakijani wana mbinu zao za ushindi,wakishindwa wapo hata akina Jecha🏃
 
Umwamba wa MH.MBOWE aumwondoi kuwa mwamba kwa sababu alikuwa DJ umepata tuzo ya siasani basi leta vitu vyenye mantiki
Tuzo yangu imewakasirisha Wajinga wengi sana , ila kwa bahati mbaya sikujichagua , mmetaka taarifa za Lugola tumewawekeeni , sasa majungu ya wivu wa kichawi ya nini ?
 
Tuzo yangu imewakasirisha Wajinga wengi sana , ila kwa bahati mbaya sikujichagua , mmetaka taarifa za Lugola tumewawekeeni , sasa majungu ya wivu wa kichawi ya nini ?
Tuzo kidogo unaanza kuita watu wajinga! Kamanda unafeli sana
 
Back
Top Bottom