JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Alipokuwa juu,alivunja madaraja yake yote,hakutegemea kurudi chini,sasa ukubwa umepotea,Bado anatafuta njia ya kurudi haioni!Wakuu huyu Mheshimiwa amekuwa kimya sana.
Yupo wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru.
Bahati mbaya hamna hata punje ya aibu🏃.Hivi Bungeni anajisikiaje yeye na polepole
Bashiri alipanda nini jamani,I do not see.Kuwatetea Watanzania ndio nongwa.Ajabu sana.Wanadamu hawana jema.Lakini si ajabu,kwa kuwa hata Gadaffi aliwapenda Walibya,lakini hatimaye walimuua.Dunia hii sasa is against good and pro-evil.Haamini hataamini kamwe....Jiwe alimpa kibri cha binadamu akamsahau hata Mola wake.....acha avune alichopanda....mpuuzi mkubwa
Hata sasa haamini...kibri kimemponza...Nobody expected Magufuli to die within a short span of days
.....kubadili katiba ili afanye maono yake je?? Sidhani kama angetoka kirahisi....ndio hivyo angekubali kutoka akiwa amejijenga hasa ameweka watu wake kila sehemu nyeti.....miaka 10 asingeguswa Mungu hupanga yakeYes, Bashiru na Polepole walishaanza kuwa na mawazo kuwa Jiwe might choose one of them as a candidate for the next presidency, though one can not say for certainity if Magufuli would have relinquished power after his constitutional presidency terms end
Muda utafika hutaamini utachosikia.....Subiria tufungue pandora muda si mrefuBashiri alipanda nini jamani,I do not see.Kuwatetea Watanzania ndio nongwa.Ajabu sana.Wanadamu hawana jema.Lakini si ajabu,kwa kuwa hata Gadaffi aliwapenda Walibya,lakini hatimaye walimuua.Dunia hii sasa is against good and pro-evil.
Bongo bahat mbaya mzee babamnavyomponda 🤣🤣 kweli wabongo sio watu mtoa duh ukitaka kuwajua wabongo kama sio watu ukifulia utaomba poh kila mtu atakucheka na watoto wadogo watakujambisha lakini ukiwanacho utapendwa nautajiona wewe ni wapekee (wabongo hawana Imani )
Hakuna Pandora yeyote,ni ushetani mtupu.Yeyote anayetetea wananchi kwa sasa ni adui,because the Devil rules the World.Muda utafika hutaamini utachosikia.....Subiria tufungue pandora muda si mrefu
Nitaenda kumtembelea kwake Msewe Mwalimu wangu, nitawaletea majibuWakuu huyu Mheshimiwa amekuwa kimya sana.
Yupo wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru.
Wakuu huyu Mheshimiwa amekuwa kimya sana.
Yupo wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru.
Hata huo mmoja sidhani kama uliingiaAlikula mshahara wa mwezi mmoja wa ukatibu mkuu kiongozi
Uliwahipo lini kumsikia gadaffi kama ukiwa madarakani lazima utumie vyombo vya dolla ili kuuwa wapinzani chama tawala kizidi kukaa madarakaniBashiri alipanda nini jamani,I do not see.Kuwatetea Watanzania ndio nongwa.Ajabu sana.Wanadamu hawana jema.Lakini si ajabu,kwa kuwa hata Gadaffi aliwapenda Walibya,lakini hatimaye walimuua.Dunia hii sasa is against good and pro-evil.
Dr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.
Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.
Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!
Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
yule alishakuwa bold dictator mbaye singeliondoka kwa mauaji /atrocities alizokuwa akizifanya au kama ulivyosema angeliweka watu wake , dugu zake hasa kila sehemu nyeti kama CDF, CJ, Speaker, etc.....kubadili katiba ili afanye maono yake je?? Sidhani kama angetoka kirahisi....ndio hivyo angekubali kutoka akiwa amejijenga hasa ameweka watu wake kila sehemu nyeti.....miaka 10 asingeguswa Mungu hupanga yake