Yuko wapi Kibakuli mdogo wake Nyama yao

Kibakuli siku hizi kawa Camera Man.

Muvi nyingi tu za kibongo anahusika kwenye jopo la waandaaji yeye akiwa upande wa camera man.
 
Sema picha yake google haipo ila namfahamu jamaa. Kabonge kafupi cheupe na ana matatizo ya macho. Na taarifa za msiba alizirusha zamaradi clouds tv kupitia take one.

Huyo ni mlopelo ndo aliyefariki. Kibakulu yupo hai
 
Duh..
Hajapatikana hadi leo!???
 
Sema picha yake google haipo ila namfahamu jamaa. Kabonge kafupi cheupe na ana matatizo ya macho. Na taarifa za msiba alizirusha zamaradi clouds tv kupitia take one.

Wewe unamsema Mlopelo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…