wewe si nimekuambia uende kule hadi link nimekupa π³ π³ π³
Kama kilikuwa kibwana mdogo ilikuwaje ukashindwa hata kuomba nambamzee kichwani uko njema kweli?
2012 bwana aliyekuwa naye tulipokutana huko Melia Hotel ni kibwana mdogo tu cha kawaida sana
Acha uzwazwa wanalika tu hawana maajabu
Rugee???Ukiwa mdhamini wa haya mashindano ya u-miss raha sana,yaani we unakula vizuri tuuu...aaah rugeeee kama nakuona vileee
Siendi kokotewewe si nimekuambia uende kule hadi link nimekupa π³ π³ π³
Mkuu japo tulikuwa wote pale kwa siku kadhaa, lakini alikuwa yuko busy na bwana yake. Siku hiyo kulikuwa kuna party beach usiku hapohapo hotelini, kuna vibanda flani vimejengwa vya kupumzikia wageni huko beach ukitaka kupumzika unalipia unakaa humo ni kama chumba kabisa kuna godoro lakini kiko wazi pande zote juu tu ndipo kumeezekwa paa la majani haya ya kisasa.Kama kilikuwa kibwana mdogo ilikuwaje ukashindwa hata kuomba namba
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha sana..nilikua sina hata mpango wa ku comment humu leoHawa ndio waume zetu eeh Mungu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Uzuri nasisi tunawacrush kina Idris sultan ngoma droo sis[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi tukakutane kwenye ndoa tumeshatulia woteumenifataje huku wewe...tulia basi hahaha
tatizo hili sasaUzuri nasisi tunawacrush kina Idris sultan ngoma drop sis[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi tukakutane kwenye ndoa tumeshatulia wote
Kwanini Sasa,we mbona unamcrush lisatatizo hili sasa
huyu dada basi tu...Kwanini Sasa,we mbona unamcrush lisa
π πTunaishi nae kama mke na mme,najipigia tu mipaipu kadri navyoona inafaa
Hahahahahuyu dada basi tu...
usicheke mkuuHahahaha
Ee ndio sisi unadhani kuna wanaume wengine?πHawa ndio waume zetu eeh Mungu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
huyu kaolewa mkuuMi nataka kujua anjela damas Yuko wapi niwahi muona kipindi fulani na kile kigari chake Suzuki jimny cheupe miaka Kama 17 iliyopita alikuwa mrefu mweupee na mzuri kweli kweli .
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa mzuri sana sema hakuwa na makuu na aliolewa mapema sana.
Huyo Ni hyoce temuAlikuwa mzuri sana sema hakuwa na makuu na aliolewa mapema sana.
na kuna kipindi flani nahisi kama alikuwa chanel 10 anaendesha kipindi cha mimi na tazania!