Yuko wapi Lisa Jensen, aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili 2006?

Yuko wapi Lisa Jensen, aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili 2006?

[emoji3] Halisi walikufa vita ya kwanza 1914-1918. Wote tumebakia mafurushi.[emoji124]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunapambana tu na mafurushi yetu maana hamna namna.
 
Demu mkali kuliko mamiss wote alikuwa wema, coz nimewaona wote live

Ila sasa hivi ni kachakaa balaa

Pombe, club, shisha , paipu etc ukiendekeza unakuwa kituko
 
Back
Top Bottom