Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenza hebu tulia bwana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani acha tu!!Ee ndio sisi unadhani kuna wanaume wengine?[emoji3]
😀 Halisi walikufa vita ya kwanza 1914-1918. Wote tumebakia mafurushi.🚶Yaani acha tu!!
Acha tu, tutafanyaje sasa!![emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha sana..nilikua sina hata mpango wa ku comment humu leo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3] Halisi walikufa vita ya kwanza 1914-1918. Wote tumebakia mafurushi.[emoji124]
Kaolewa.Ila sina uhakika kama anaishi States.kweli mkuu? kaolewa kwani?
Hii keki ya taifa aisee,kila mtu anamegaDemu mkali kuliko mamiss wote alikuwa wema, coz nimewaona wote live
Ila sasa hivi ni kachakaa balaa
Pombe, club, shisha , paipu etc ukiendekeza unakuwa kituko
Hii keki ya taifa aisee,kila mtu anamega
wema? Hebu acha utani?Demu mkali kuliko mamiss wote alikuwa wema, coz nimewaona wote live
Ila sasa hivi ni kachakaa balaa
Pombe, club, shisha , paipu etc ukiendekeza unakuwa kituko
wema nakataa hana uzuri huo wa kuwazidi woteDemu mkali kuliko mamiss wote alikuwa wema, coz nimewaona wote live
Ila sasa hivi ni kachakaa balaa
Pombe, club, shisha , paipu etc ukiendekeza unakuwa kituko
mamaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunapambana tu na mafurushi yetu maana hamna namna.
Alikuwa mkali balaa, kwanza lirefu kama twiga, na shape na sura usiseme...sema kajiharibu sana daaah[emoji134]wema? Hebu acha utani?
Hukumfahamu kipindi hiki 2008- 2012wema nakataa hana uzuri huo wa kuwazidi wote
wema nimeshawahi kumuona mara kadhaa yule ana nyota tu ila sio mzuri kivile hata jokate anamzidi mbali tu japo alimshinda kwenye lile shindanoAlikuwa mkali balaa, kwanza lirefu kama twiga, na shape na sura usiseme...sema kajiharibu sana daaah[emoji134]
Hiyo ni shida kwa wanyaturuHii keki ya taifa aisee,kila mtu anamega
Umemisika pia mom....nipo likizo ndogo ya jeifuuAcha tu, tutafanyaje sasa!!
Hujambo son? Miss you alot.
Aaaahh wewe hujamuona jokate wewe unaongea nini weweDemu mkali kuliko mamiss wote alikuwa wema, coz nimewaona wote live
Ila sasa hivi ni kachakaa balaa
Pombe, club, shisha , paipu etc ukiendekeza unakuwa kituko
kabisa hata mimi ndicho nilichomuambia, Jokate ni mrembo kuzidi wema kama ukibahatika kuwaona live...sema wema ni maarufuAaaahh wewe hujamuona jokate wewe unaongea nini wewe
Wema sio mkali,sema ana nyota kaliwema? Hebu acha utani?