Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Hawa watu wa singida,kondoa na karatu tabia zao zinafanana.Hiyo ni shida kwa wanyaturu
Siyo huyu.Anayelalamikiwa kumpiga chini Mabeste si ndio huyu au mwingine ?
Mmmmmh!!! [emoji848][emoji848][emoji848]Umemisioa pia mom....nipo likizo ndogo ya jeifuu
Wote wana tabia hiyo ?Hiyo ni shida kwa wanyaturu
Kwahyo ukamwona mwana mdogo mdogo ukaona yuko kama wew...mwwnzio ana mali za urithimzee kichwani uko njema kweli?
2012 bwana aliyekuwa naye tulipokutana huko Melia Hotel ni kibwana mdogo tu cha kawaida sana
Acha uzwazwa wanalika tu hawana maajabu
Huwez fananisha lisa na wema hata sku1..sio kwa sura ile na mwanya ule.wema yuko jucy tuu ila sio mzur kivileeDemu mkali kuliko mamiss wote alikuwa wema, coz nimewaona wote live
Ila sasa hivi ni kachakaa balaa
Pombe, club, shisha , paipu etc ukiendekeza unakuwa kituko
Hii hapa chini kwa picha[emoji116]Huyu mwanadada yuko wapi? Binafsi nampenda sana huyu mrembo...
Kipindi anashiriki hili taji na kushinda nafasi ya pili, bado nilikuwa shule DIT nilimtamani sana sema tu sikuwa na mavumba kipindi kile.
Mwaka 2012, Nilibahatika kukutana nae kwenye party ya usiku Melia Hotel, Kiwengwa - Zanzibar.., Sikupata hata fursa ya kumsemesha alikuwa ameambatana na mshikaji wake kamganda kinoma tangu kipindi hicho sijamsikia tena japo najaribu kutafuta habari zake mara kwa mara bila mafanikio, ni mda sahihi kwangu kujiweka karibu na Steve nyerere, kwake najua nitafanikisha hili.
Huyu nimeshajiapiza hata uzeeni lazma tukujozane, niko tayari kuvunja kibubu changu benki kwa ajili yake...kwani pesa kitu gani.
Hance Mtanashati na warumi nisaidieni kunijuza huyu mlimbwende yuko wapi sasa kabla sijatafuta connection ya steve
Huyu ni lisa Jensen yule wa Mabeste ni lisa FickenscherNi huyu
Upo sahihi mkuuHuyu ni lisa Jensen yule wa Mabeste ni lisa Fickenscher
Huyo lisa wa mabeste umaarufu wake umetokana na nini ?Huyu ni lisa Jensen yule wa Mabeste ni lisa Fickenscher
Alikuwa ni mke wa Mabeste so naye akapata umaarufu kwa kuwa mke wa jamaa,pia anaproject zake za utalii wa ndani na mambo ya talent na nini,kama yupo humu atakuja mwenyewe kukujuza vizuri juu ya hiliHuyo lisa wa mabeste umaarufu wake umetokana na nini ?
Hawezi kujifunua humu, anajua wapwa watampopoa maweAlikuwa ni mke wa Mabeste so naye akapata umaarufu kwa kuwa mke wa jamaa,pia anaproject zake za utalii wa ndani na mambo ya talent na nini,kama yupo humu atakuja mwenyewe kukujuza vizuri juu ya hili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watampopoa mawe kwani ana shida yoyote kawafanyia wapwa?Hawezi kujifunua humu, anajua wapwa watampopoa mawe
Hawezi kujifunua humu, anajua wapwa watampopoa mawe
Thanks sana mkuu..Mcheki kwenye Hii Akaunti ya InstagramHii hapa chini kwa picha[emoji116]
Name....LisazagarView attachment 1481572
Unamjua? Lakini haina shida na Mimi nataka nivunje kibubu changu bossKwahyo ukamwona mwana mdogo mdogo ukaona yuko kama wew...mwwnzio ana mali za urithi
Kamisiwa mtu dada shemeji...kama mimi nikimuulizia Heaven SentHawa ndio waume zetu eeh Mungu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]