Uchaguzi 2020 Yuko wapi Lowassa asaidie kampeni?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mwanachama nguli wa CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa nilitegemea awe kwenye timu ya kampeni ya CCM wakati huu jahazi linapoelekea kuzama.

Au yeye ni kati ya Askari wa Akiba tunaoambiwa wataingia rasmi kipindi cha lala salama.
 
Jahazi kamwe haliwezi kuzama,Naona linazidi kupepea.

Hakuna mwenye uwezo wa kulizamisha Jahazi la JPM,TAL hana jipya zaidi ya Malalamiko yaliyojaa kejeli badala ya sera kwa watanzania wenye uhitaji wa kusikia anautaka Urais wa nn Kwa kipindi hiki ambapo ni dhahiri hawez kushinda kabisa.
 
Ila huyu mzee atakumbukwa kwa Mengi sana!

Ndio ambae chadema walijipatia umaarufu kupitia yeye
 
Mwanachama nguli wa CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa nilitegemea awe kwenye timu ya kampeni ya CCM wakati huu jahazi linapoelekea kuzama.

Au yeye ni kati ya Askari wa Akiba tunaoambiwa wataingia rasmi kipindi cha lala salama.
KWANI KUNA KIKUNDI GANI KINACHOSUMBUA KAMPENI ZA CCM MPAKA WAJEE HAO AKINA LOWASA??
 
Wacha utani, yani Lowassa akauzime moto wa Lissu?! huo moto utamuunguza na yeye, bora aendelee kuwa mtazamaji tu kwa usalama wake.
[emoji23][emoji23][emoji23] atasema nini Sasa hata huyo lissu atamsema na ufisadi au nini maana 2015 walimsafisha sio fisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…