Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

Yupo tele. Kama dagaa was Lake Tanganyika.
 
Yupo tele. Kama dagaa wa Lake Tanganyika.
 
Kuna 'nyepe nyepe' moja imenipitia 'Usingizini' mwangu sasa sijui nilikuwa naota tu masikini ya Mungu!!!!

Je uliota pia kuwa Nchimbi nae amerudi yuko nchini!! Can it be a coincidence?
 
Makamo wa rais>Ni kiongozi /Nafasi ya pili Kwa madaraka katika Jamhuri ya Mungano wa Tanzania. MAJUKUMU YAKE AU WAJIBU WAKE. 1.Atafanya KAZI zote kama atakavyooelekezwa na raisi hapa tuelewana ......kama raisi atakavyompangia .hii Nafasi ni madara makubwa Ila Kwa mtazamo wangu Bora hata waziri anaweza foka (hapo naona nyerere kuna Mambo aliyawaza .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
Ndio maana alikumbukwa kwenye uflme wa ccm.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Makamu aliyeonekana alikuwa Gharib Bilal bwana,,hizi kazi za kutembea na mkasi alikuwa anafanya makamu,siku hizi zinafanywa na Rais mwenyewe,kila uzinduzi Rais yumo,Makamu hawezi shine kwa namna yeyote
 
Nimerudi home Burundi Mkuu
 
Gentamycine unaonekana unakubali mno kazi ya Netanyahu ndio maana umeweka kwenye avatar! Ni vizuri, wewe akili kubwa, na yeye ni akili kubwa.[emoji106][emoji106][emoji106]
Ninashukuru sana kwa kulijua hili Mkuu.
 
Vice Presidents always wako silence
Toka enzi za president Mkapa
 
Vice Presidents always wako silence
Toka enzi za president Mkapa
Huyu wa sasa ni mgonjwa tu wala tusipepese macho. Kukaa kwenye oxygen machine kwa kipindi kile kulimuachia kilema ndani kwa ndani
 
Huyu wa sasa ni mgonjwa tu wala tusipepese macho. Kukaa kwenye oxygen machine kwa kipindi kile kulimuachia kilema ndani kwa ndani
Na akidedi Meko anahusika. Haiwezekani umtoe mtu ICU aje aongee na waandishi kuwathibitishia eti hana Corona. Wale wadudu hawanaga masihara na vigogo na matajiri...
 
Sawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?
Wanaosikika ni Rais,, Rais ZnZ, Waziri mkuu, Makamba na Mwigulu huyu ndugu Makamu amepotezewa labda hahitajiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…