Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

Mtani akitaniwa je naye asijibu utani??---- wewe huoni hicho kicheko katika majibu yangu??!!, hicho ni kicheko cha utani tu isitoshe lini Kigoma ilikuwa ni nchi??!, hayo yote ni mambo ya utani tu,🤣🤣.

Wewe ndiye uliyezaliwa juzijuzi usiyejua jinsi utani unavyokolezwa.

Huyo Gentamycine ni Mzanaki na ndio maana ni mshamba kama Baba wa taifa alivyokuwa.🤣🤣🤣
Mkuu na Mtani wangu nimecheka sana tu kwani umenipiga 'Dongo' la maana. Napenda mno Utani na Kuwatania Watani zangu wakubwa Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu, Warangi, Wanyamwezi na Wakara.

Haya bhana Mtani umeshinda tu Wewe.
 
Wapelekee kwenu (wenye magovi)mhamasishane kutahiri.
 
Huyu Mzee kiukweli toka atoke kuumwa Covid hajakaa sawa...kitalaam alipaswa kupumzika..Afya yake toka ameumwa ile Covid sijaona kama inafanana na alivyokuwa...
Covid 19 ikiingia mpaka kwenye mapafu ujue hapo imeshaweka madhara mwili mzima, Organs nyingi zinakuwa zimeathiriwa, Tuchukue tahadhari Covid ni ugonjwa hatari, kwa baadhi ya watu, na huwezi kujua hao baadhi ya watu itakuwa ni akina nani !!
 
Huyu Mzee kiukweli toka atoke kuumwa Covid hajakaa sawa...kitalaam alipaswa kupumzika..Afya yake toka ameumwa ile Covid sijaona kama inafanana na alivyokuwa...
Wanasema Covid 19 ikikushambulia mpaka kufikia hatua ya kupata tatizo la upumuaji, huwa imefanya damage kubwa kwenye organs mbalimbali mwilini.

Hata kama ukiwa umepona, ile damage iliyotokea, huchukua muda kupona kwa 100%,
 
Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa ( Alhamisi ) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.

Au kama yupo ( tunae hapa JamiiForums ) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.

Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Umeanza chokochoko!!!
 
Kama Mtani wangu Muha yuko basi ni Faraja kubwa sana Kwangu Mkuu. Tafadhali Mkuu kama una Picha zake zozote labda za katika hilo Kongamano la Zoom la Jana hebu niwekee hapa ili nimuone tu na niridhike kwani nilishaanza Kuogopa na Kuikumbuka Hospitali moja hivi Makumbusho Dar es Salaam.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yupo anapiga kazi,yule ni makamu wa Rais huwezi kutana naye magomeni au kariakoo kirahisi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Ndugu Itovanilo ,wewe mbona umeandika kama "muongo wa taifa" ambaye pia ni mmiliki wa timu ya mpira wa miguu huko "kuthini"!!??
 
Wewe 'Raia' hujuhi kitu, subiri taarifa uone meza zinavyopinduliwa.

kutoka kwa VP si lazima 'Kifo'
what if akasema ame resign??

viongozi wanapitia wakati mgumu sana, raia hawajuhi tu.
kuna kulogana na kufitiana.
Watu huwa wanaambiwa, "achana na huo mpango au upatwe na ajali wewe na familia yako?".
 
Yupo anapiga kazi,yule ni makamu wa Rais huwezi kutana naye magomeni au kariakoo kirahisi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Wasaidiane wote kazi isije ikatokea ghafla nae aanze visingizio vya awamu zilizopita
 
Back
Top Bottom