The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Acha uchuro we mtoa mada, pumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daa! Afadhali kabila langu halijatajwa.Na 'Washamba' wengine nje ya Waha ( Kigoma ) ni Wahaya ( Kagera ), Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida ), Warangi ( Dodoma ), Wanyamwezi ( Tabora ) na Wakara ( Ukerewe Mwanza )
Ujio wa Nchimbi ambaye mwanzoni alitanabaishwa kuwa makamu..Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa ( Alhamisi ) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
au kama yupo ( tunae hapa JamiiForums ) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Daa! Afadhali kabila langu halijatajwa.
Ujio wa Nchimbi ambaye mwanzoni alitanabaishwa kuwa makamu..
uwepo wa inachosemekana Sgang, na Makamu wa sasa kuhusishwa..
kutokukubalika kwa makamu ndani ya team msoga (Wahuni vs Washamba/wakuja).
na mengineyo kama hayo kumefanya nguvu yake ipungue na kuna mkakati kabambe wa kumuondoa.
lakini ni mpe onyo/angalizo SSH.
Lolote litakalo fanyika kwa Mpango basi atalipiziwa mara 7 kwake.
kuna mission y chini chini inaendelea inawahusisha viongozi 3.
kama ikifanikiwa watanzania hawatakaa kuamini.
Niishie hapo.
Wewe 'Raia' hujuhi kitu, subiri taarifa uone meza zinavyopinduliwa.Acheni uzushi unadhani inaweza ikawa rahisi kiasi hicho?
Wewe 'Raia' hujuhi kitu, subiri taarifa uone meza zinavyopinduliwa.
kutoka kwa VP si lazima 'Kifo'
what if akasema ame resign??
viongozi wanapitia wakati mgumu sana, raia hawajuhi tu.
kuna kulogana na kufitiana.
Ah! disco ameingia mmawia,uchiteme wala uchimung'unyePumbaf
Wala usichukie kuambiwa mshamba na mtani wako, huyo watani zake ni waha, wanyiramba, wahaya, warangi, n.k amekuwahi tu ndio utamaduni hata angepita akakuta mnasafirisha maiti kwenda kuzika angekataa msiendelee akazua jambo kua alikua anamdai marehemu hivo lazima alipwe na mngempa pesa, na mkiwa msibani ninyi mnalia yeye anacheka wala haumfanyi kitu ndio utani mkuu au umekua juzi juzi.
Rwanda au Burundi?
Hivi nyie Washamba Waha Watani zangu si mpo wengi tu hapa JamiiForums? Hebu niambieni upesi Mzanaki Mimi aliko Ndugu yenu Makamu wa Rais Dk. Philip Isidori Mpango tafadhali.
Kuna Shehena ( Consignment ) moja ya Corona ( UVIKO-19 ) nataka kuipeleka Mkoani Kwenu Kigoma na nataka Yeye ndiyo akaipokee kwani imetengenezwa 'Kienyeji' kutoka kwa 'Mashujaa' wa Tanzania Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma )
[emoji16][emoji16]alikohoa mpka akalegea,yani unakosa utu kwa sababu ya kupewa madaraka,ile clip ni fedhea sanaNakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
Upo sahih kwa sabab tangu msukuma atutangazie kuwa wamemletea moshi sidhan km alimaliza hata miez miwili tukaanza kupiga ramli yupo wapWewe 'Raia' hujuhi kitu, subiri taarifa uone meza zinavyopinduliwa.
kutoka kwa VP si lazima 'Kifo'
what if akasema ame resign??
viongozi wanapitia wakati mgumu sana, raia hawajuhi tu.
kuna kulogana na kufitiana.
Kabisa maana alikuja kwa kasi sanaAtakua kakumbushwa yeye ni Makamu wa Rais
Yuko Ikulu anapiga kazi!Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa ( Alhamisi ) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Au kama yupo ( tunae hapa JamiiForums ) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Jamaa alikua anatoa matamko na maagizo mbele ya RaisKabisa maana alikuja kwa kasi sana