Yuko wapi Mbiki Msumi?

Yuko wapi Mbiki Msumi?

Muda ni hakimu, enzi hizo za kimobiteli, mademu wakali mjini wanamegwa na watoto wa mjini kwa kuhongwa chaser mayai ma Mark II hizi hizi za milioni 1.5 leo.
Starehe, starehe kweli kwa macheni enzi hizo. viwanja vikali Sinza enzi hizo. Mtu mzima Hashim Lundenga yupo hai?
Enzi hizo ARV lazima uwe na hela na connection, leo tunawapa Nguruwe ARV. Nimekumbuka mbali mhenga mie😁
Lundenga alitukazia sana dada zetu yule bwege
 
Unaoa, unamla, unamtwanga talaka, unatafuta mwingine. So nafasi zako za kuoa unakua hauzijazi.
Kila unayemtaka anajiona anakuja kuwa mke wa pili na wewe kazi yako inakua ni kuwagongea ndani ya ndoa na kuwapiga talaka.
Hii dini sasa inatumika vibaya
 
Mzumbe alisoma certificate ya law,alipomaliza akajiunga na tumain university iringa 2005,kusomea degree
Kwa data zilizopo, ni kigogo pale OUT, ni msomi wa Sheria akibobea katika eneo la Constitutional and International Law. Nenda pale OUT kaulize.
 
Unaoa, unamla, unamtwanga talaka, unatafuta mwingine. So nafasi zako za kuoa unakua hauzijazi.
Kila unayemtaka anajiona anakuja kuwa mke wa pili na wewe kazi yako inakua ni kuwagongea ndani ya ndoa na kuwapiga talaka.

Wanaume wa kiislam wahuni ndio mambo yao haya. Wanaoa wanagonga wakichoka wanapiga talaka. Wanaoa mwingine

Masudi kipanya na haji manara ndio mambo yao haya.
 
Wanaume wa kiislam wahuni ndio mambo yao haya. Wanaoa wanagonga wakichoka wanapiga talaka. Wanaoa mwingine

Masudi kipanya na haji manara ndio mambo yao haya.
Lakini si angalau wana wagongea ndani ya ndoa badala ya kuwagongea guest na majanini😃
 
Back
Top Bottom