passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Wakuu Heshima mbele.
Kwa kweli miaka ya nyuma kidogo kabla ya kupoteza akaunti yangu ya Jamii forums. Nilikuwa napenda sana kumsoma jamaa mmoja anaitwa barafu.
Kwa waliokuwepo jamii forums miaka ya nyuma nadhani wengi mtamfahamu mwana jamii forums barafu akianza kuchambua kuhusu mambo ya serikali, akijenga hoja zenye mashiko Kwa kweli nilikuwa nikivutiwa sana na jinsi anavyofahamu mambo mengi sana
barafu alikuwa akianza kuelezea kuhusu serikali, alikuwa anatumia lugha safi isiyo na kejeli,matusi, dhihaka na kashfa katika kuwasilisha kile alichokuwa anakitaka.
Yupo wapi mwana jamii forums barafu??
Baadhi ya nyuzi zake 👇
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Kwa kweli barafu alikuwa ni tunu hapa jamii forums siku hizi haonekani kabisa.
Nani wa kumrithi barafu hapa sasa Jf katika Upande wa kuelezea vitu vya serikali na kujenga hoja kwa wakati huu?
Nimebaki ninamsoma Kiranga DR Mambo Jambo Mama Amon na Maghayo kama kifungashio cha ziada.
Kwa kweli miaka ya nyuma kidogo kabla ya kupoteza akaunti yangu ya Jamii forums. Nilikuwa napenda sana kumsoma jamaa mmoja anaitwa barafu.
Kwa waliokuwepo jamii forums miaka ya nyuma nadhani wengi mtamfahamu mwana jamii forums barafu akianza kuchambua kuhusu mambo ya serikali, akijenga hoja zenye mashiko Kwa kweli nilikuwa nikivutiwa sana na jinsi anavyofahamu mambo mengi sana
barafu alikuwa akianza kuelezea kuhusu serikali, alikuwa anatumia lugha safi isiyo na kejeli,matusi, dhihaka na kashfa katika kuwasilisha kile alichokuwa anakitaka.
Yupo wapi mwana jamii forums barafu??
Baadhi ya nyuzi zake 👇
Jinsi Lissu alivyowabadilisha waliomuona Nairobi
Jinsi Lissu alivyowabadilisha waliomuona Nairobi Kwa ufupi Ndivyo ilivyokuwa kwa Mchungaji Peter Msigwa, Zitto Kabwe, Lazaro Nyalandu, Julius Mtatiro na Sheikh Ponda Issa Ponda waliporejea kutoka jijini humo kumjulia hali mwanasheria huyo mkuu wa Chadema. By Boniface Meena na Kalunde Jamal...
Shirika ndege KLM latimiza miaka 100 toka kuanzishwa na miaka 50 ya kutua Tz,ATCL inalo la kujifunza
K L M R OYAL DUTCH ni shirika la ndege la Uholanzi,KLM ni kufupisho cha Koninklijke Luchtvaart Maatschappij,N.V.(Royal Aviation Company,Inc.) Shirika la ndege la KLM litatimiza miaka 100 itakapofika Oktoba 7 mwaka huu, tangu kuanzishwa kwake 1919. KLM ndio shirika pekee duniani...
Kutoka Washington, USA: President Magufuli, Stop That Dam
Bado dunia inaomba, inambembeleza Mh. Rais Magufuli asimamishe/aachane kabisa na ujenzi wa bwawa la Stieglers Gorge. Wanasema athali zake ni kubwa kuliko matumaini yaliyowekwa kwenye huo mradi. Quote: Maritta Koch-Weser "If construction of Stiegler’s Gorge Dam in Tanzania goes ahead, it...
Kwa kweli tuchukue tahadhari, huyu ni "malaika" asiye na huruma wala mzaha toka kitambo
Huyu ni mtu mwenye kisasi na roho ngumu sana.Amekunywa damu ya mwana wa Saa8 na yule "SHIHATA" wa Kibiti.Hii imekuwa tabia yake,hajatosheka na kiwango cha bilauli za damu alizokwisha chota na kunywa. Raha yake ilikuwa apate bilauli ya damu ya Lissu juu ya meza yake,ili anywe na kusuuzika...
Hili la Rais Magufuli kuhamishia ndege za TGFA kwenda ATCL ni maamuzi yake au ni ushauri wa wataalamu wetu? Tunauliza ili tujadili
Baada ya Uhuru serikali ilinunua ndege ndogo kwa ajili ya safari za Rais aina ya "Piper Apache" yenye usajili wa 5H-TBV hii ilikuwa mwaka 1965,tena 1966 Ndege aina ya "Aero Commander" yenye usajili 5H-ABK ilinunuliwa na kuuzwa 1974,baadae 1972 Serikali ilinunua ndege mbili aina ya "Piper Aztech"...
Tuliokupigania Mh.Rais tunakukumbusha tena kuwa unatuangusha,hatua hii dhidi ya Fastjet ni kudumaza sekta ya anga
Kabla ya Lau kununua fastjet Tanzania,wazungu waliokuwa wanaimiliki kampuni hii walishaanza kukukumbwa na vikwazo visivyo na maana,December 2017 Fastjet Tanzania walitangaza kuleta ndege nne aina ya ATR72.Ili kuweza kuziingiza katika ushindani wa soko la Tanzania na kuboresha usafiri wa...
Kwa kweli barafu alikuwa ni tunu hapa jamii forums siku hizi haonekani kabisa.
Nani wa kumrithi barafu hapa sasa Jf katika Upande wa kuelezea vitu vya serikali na kujenga hoja kwa wakati huu?
Nimebaki ninamsoma Kiranga DR Mambo Jambo Mama Amon na Maghayo kama kifungashio cha ziada.