Yuko wapi member Gentamycine?

Yuko wapi member Gentamycine?

Nimegundua ni wewe mwenyewe gentamicine baada ya kuona yafuatayo
Kuna thread umeanzisha UNAZUNGUMZIA maswala ya radio najua pia gentamicine huwa ni mdau kwenye tasnia ya habari
Kuna Maada ya mambo ya usalama sijui wa viongozi nayo pia ni agenda ya gentamicine
Nimeona unasifia mawaziri wa serikali
Pia wewe ni mwanaccm kama ilivyo Kwa account ya gentamicine
Wewe ndiye..
Hence proved
Kwa umbea huu wa kunisingizia mambo nisiyoyajua nafikiri MUMEO ana kibarua pevu mno.
 
Hana la kutuletea kwani kina Mpiana na Werason wamekwisha kimuziki na muziki wa Kongo (DR) kwa sasa huko ICU.....uliza yeyote anayejuwa muziki wa Kongo atakuambia hivyo. Hawa jamaa wamekwisha kabisa kimuziki na hawana jipya.
Kwahiyo amefulia?
 
Kwa umbea huu wa kunisingizia mambo nisiyoyajua nafikiri MUMEO ana kibarua pevu mno.
Dah asee Nasikitika Hujanielewa. Wakati mwingine relax hatugombani brother sisi ni ndugu Nimejaribu tu kuwasilisha nachofikiri Kwa KUWA mtu hajatazwi kufikiri sikuwa na Nia ovu. Nimeleta hoja hapo JUU kwamba nahisi wewe ndio gentamicine. Mawazo
 
Dah asee Nasikitika Hujanielewa. Wakati mwingine relax hatugombani brother sisi ni ndugu Nimejaribu tu kuwasilisha nachofikiri Kwa KUWA mtu hajatazwi kufikiri sikuwa na Nia ovu. Nimeleta hoja hapo JUU kwamba nahisi wewe ndio gentamicine. Mawazo
Simfahamu huyo Member
 
Aliolewa na Msomali last week, Raia tumekula sana bia

Juzi jioni kaondoka na mmewe kwenye makazi yao huko somalia
 
Niliona nimpuuze tu, kwani hanijui simjui vilevile mi nilimvizia ligi ya ana kwa ana dizaini kama alinikwepa ,nikajua kumbe ligi ya ana kwa ana haiwezi mjinga yule
 
Back
Top Bottom