Yuko wapi Member mwenzetu Magonjwa Mtambuka

Yuko wapi Member mwenzetu Magonjwa Mtambuka

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wakuu

Huyu member mwenzetu magonjwa mtambuka wapi alipo mbona haonekani kabisa kwa sasa

Amepatwa na nini aisee
tapatalk_1574968148944.jpeg
 
Na ISIS sijui kafia wapi na "WALAHI" zake. Member anaeongoza kunitukana humu JF haijawahi kutokea toka mungu kaumba mbingu.

Namuomba sana mungu siku ya kiama, asinipe kazi ya kuongoza malaika kama "JIWE" anavyojipigia debe. Anipe kazi ya "KUMCHOMA MOTO NA KUMPA ADHABU KALI KALI" huyu mdudu wa JF ISIS. Kazi yangu iwe ni "KUBUNI" adhabu mpya mpya kwaajili yake.
 
Watakuwa wamebadilisha ID tu
Na ISIS sijui kafia wapi na "WALAHI" zake. Member anaeongoza kunitukana humu JF haijawahi kutokea toka mungu kaumba mbingu.

Namuomba sana mungu siku ya kiama, asinipe kazi ya kuongoza malaika kama "JIWE" anavyojipigia debe. Anipe kazi ya "KUMCHOMA MOTO NA KUMPA ADHABU KALI KALI" huyu mdudu wa JF ISIS. Kazi yangu iwe ni "KUBUNI" adhabu mpya mpya kwaajili yake.
 
Back
Top Bottom