Yuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?

Jamaa aliteka kipindi cha Jioni choote katika Tinga nambari moja kwa Vijana, EATV.

Kila baada ya dakika tano utasikia Pata pamba kali, nimevalishwa na Husseiiiinnn Pamba kali.

Namuombea kama anafanikiwa kwa hustles zake, basi abarikiwe na arejee tena.

Akumbe Winners Never Quit.
 
Ngoja waje masikini wenye habari za tajiri
Tajiri anaishi Koma koma? Acheni utani bhana.
 
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…