Yuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?

Utajiri una siri nyingi.....kamwe hutazijua.
 
Niliwahi jiokoteza miaka fulani nikaenda madukani kwao pale Kinondoni, daah nikatafuta nguo sioni hata moja ya kununua, nikajisemea labda mimi ndo mshamba maana mashati hayaeleweki, mapicha picha tuuu kwenye nguo. Nikasaini out
 
Niliwah jiokoteza miaka fulani nikaenda madukani kwao pale kinondoni, daah nikatafuta nguo sion hata moja ya kununua, nikajisemea labda mm ndo mshamba maana mashati hayaeleweki, mapicha picha tuuu kwenye nguo. Nikasaini out
Duuuh
 
Yupo wapi mikoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…