Og tunazipata maduka gani?Mjanja mzima unavaa midosho
Ova
Maduka og pia ,Og tunazipata maduka gani?
Wewe utoto unakusumbua.Mjanja mzima unavaa midosho
Ova
Utajiri una siri nyingi.....kamwe hutazijua.Yuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?
Jamaa alikua na maduka kila kona ya mji, alikua na biashara kila kona alikua tajiri anayemiliki marange na maV8 alikua akitembelea maduka yake na Range
Jamaa alikua na pesa sio poa ulikua ukisikia jina lake basi unajua unazungumzia mtu maarufu na mfanyabiashara mkubwa
Jamaa yuko wapi sikuhizi?Kipindi kile cha Makonda ni miongoni mwa waloitwa Central kwa tuhuma za Unga!
Yuko wapi?Kaishia wapi?
Hussein katoka nakuulizaWewe utoto unakusumbua.
Btw tushatoka level za mavazi.
Wote hao wazushi tuBongo wauza nguo walivimba sana, nakumbuka kuna wakati Zizzou Fashion alikimbiza sana. Siku hizi kimyaaa!!!
Kaka yako unamuita mtoto tenaWewe utoto unakusumbua.
Btw tushatoka level za mavazi.
Chungu ipo Mpwapaa au Kongwa, pale sio Kongwa?Tupo nae hapa chunyu mpwapwa tunavuta fegi!
Kumbe Usha pafahamuChungu ipo mpwapaa au kongwa, pale sio kongwa?
Chunyu napafahamu mzee, nishawahi kula hapo ubwabwa mbaazi, hicho kijiji kina walevi sanaaaa.Kumbe Usha pafahamu
🤣🤣🤣🤣Chunyu napafahamu mzee, nishawahi kula hapo ubwabwa mbaazi,hicho kijiji kina walevi sanaaaa
[emoji1] kijiji chote ina maana waleviChunyu napafahamu mzee, nishawahi kula hapo ubwabwa mbaazi,hicho kijiji kina walevi sanaaaa
Ewaa!Anafanya large scale ?
Yupo wapi mikobaYuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?
Jamaa alikua na maduka kila kona ya mji, alikua na biashara kila kona alikua tajiri anayemiliki marange na maV8 alikua akitembelea maduka yake na Range
Jamaa alikua na pesa sio poa ulikua ukisikia jina lake basi unajua unazungumzia mtu maarufu na mfanyabiashara mkubwa
Jamaa yuko wapi sikuhizi?Kipindi kile cha Makonda ni miongoni mwa waloitwa Central kwa tuhuma za Unga!
Yuko wapi?Kaishia wapi?
WoolworthOg tunazipata maduka gani?