Yuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?

Yuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?

Yuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?

Jamaa alikua na maduka kila kona ya mji, alikua na biashara kila kona alikua tajiri anayemiliki marange na maV8 alikua akitembelea maduka yake na Range

Jamaa alikua na pesa sio poa ulikua ukisikia jina lake basi unajua unazungumzia mtu maarufu na mfanyabiashara mkubwa

Jamaa yuko wapi sikuhizi?Kipindi kile cha Makonda ni miongoni mwa waloitwa Central kwa tuhuma za Unga!

Yuko wapi?Kaishia wapi?
Utajiri una siri nyingi.....kamwe hutazijua.
 
Niliwahi jiokoteza miaka fulani nikaenda madukani kwao pale Kinondoni, daah nikatafuta nguo sioni hata moja ya kununua, nikajisemea labda mimi ndo mshamba maana mashati hayaeleweki, mapicha picha tuuu kwenye nguo. Nikasaini out
 
Niliwah jiokoteza miaka fulani nikaenda madukani kwao pale kinondoni, daah nikatafuta nguo sion hata moja ya kununua, nikajisemea labda mm ndo mshamba maana mashati hayaeleweki, mapicha picha tuuu kwenye nguo. Nikasaini out
Duuuh
 
Yuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?

Jamaa alikua na maduka kila kona ya mji, alikua na biashara kila kona alikua tajiri anayemiliki marange na maV8 alikua akitembelea maduka yake na Range

Jamaa alikua na pesa sio poa ulikua ukisikia jina lake basi unajua unazungumzia mtu maarufu na mfanyabiashara mkubwa

Jamaa yuko wapi sikuhizi?Kipindi kile cha Makonda ni miongoni mwa waloitwa Central kwa tuhuma za Unga!

Yuko wapi?Kaishia wapi?
Yupo wapi mikoba
 
Back
Top Bottom