Yuko wapi Mkali wa "Imekaa Vibaya" Msanii Kali P?

Chemsha bongo-ni HBC prof Jay akiwa member
 
Wapi dogo kutoka wanaume family Wanamwita Yasini aka Ydash Mtoto wa IGOGO mrungushi. Rock city
 
Niongezee hapo Kuna K-sal wa mwana mkiwa, voice wonder, k-bazil, Adili chapakazi,fresh p, kaka man, Chelea man, ally com, mc koba, na wengineo

One love

K-sal sio mtu mmoja ni kundi, na pia sio la Tanzania ni Kenya..

Chelea man ni wa 2006 ,ni juzi tu hapo usimlinganishe na hao kina kbazil...
 
Labda amesharudi kijijini kama alivyouliza " sijui nirudi kijijini?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…