dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
tuko nae Moro Kihonda tunauza nae mitumba0-10 alishajifia
Chemsha bongo-ni HBC prof Jay akiwa memberUnivetsity corner - t-shirt na jeans
Uswahili - Pengo
Kritic- chekchek
Imam Abbas - Bila sanaa
Nature- kigetogeto
Inspector harun- mtoto wa geti kali
Gangwe Mobb- Tunajirusha
Mr II - Ana miaka chini ya 18
Prof Jay - Chemsha Bongo
Afande Sele- Acha kupiga mayowe
Solo thang- Mambo ya pwani
Jay moe - Bishoo
Mr II ft Jide - Mda mrefu
Ahhhh zamani [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua kwenye kitimoto hapo round about ya kihondatuko nae Moro Kihonda tunauza nae mitumba
Niongezee hapo Kuna K-sal wa mwana mkiwa, voice wonder, k-bazil, Adili chapakazi,fresh p, kaka man, Chelea man, ally com, mc koba, na wengineo
One love
kulikuwa kuna msanii pia anaitwa k sal wimbo mwana mkiwa alimshirikisha ferouz.K-sal sio mtu mmoja ni kundi, na pia sio la Tanzania ni Kenya..
Chelea man ni wa 2006 ,ni juzi tu hapo usimlinganishe na hao kina kbazil...
kulikuwa kuna msanii pia anaitwa k sal wimbo mwana mkiwa alimshirikisha ferouz.
unaowazungumzia ww wanaitwa k south, wimbo wao uliotamba sana tunafanya kazi wakimshilikisha juma nature.
K South ft Juma Nature - 2nafanya Kazi - Rubega Muziki
True nilikuwa sijui..naipenda ngoma yake ya..iyo nicheck0-10 alishajifia
snares za umo ndani hatari sana, dadeki, viva Bongo Recordskulikuwa kuna msanii pia anaitwa k sal wimbo mwana mkiwa alimshirikisha ferouz.
unaowazungumzia ww wanaitwa k south, wimbo wao uliotamba sana tunafanya kazi wakimshilikisha juma nature.
K South ft Juma Nature - 2nafanya Kazi - Rubega Muziki
yupo morogoro mara ya mwisho nilimwona Mo town club morogoro anaomba bia kwenye kopo ndani ya club kachoka sana maisha haya acheni tu0-10 alishajifia
Maisha haya acha kabisa mkuu nilimwona Mo town club town apatuko nae Moro Kihonda tunauza nae mitumba