Yuko wapi Mohamed Ndolanga? Alishiriki kuuza ardhi ya Loliondo kwa mwarabu kipindi cha utawala wa Mwinyi. Damu ya wamasai ipo naye

Yuko wapi Mohamed Ndolanga? Alishiriki kuuza ardhi ya Loliondo kwa mwarabu kipindi cha utawala wa Mwinyi. Damu ya wamasai ipo naye

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kama mtakumbuka huyu jamaa alikuwa ndie mkuu wa maliasiri na wanyama pori miaka ya 1990 akafanya uhuni na kuhirikiana na Mzee Mwinyi wakamuuzia ardhi mwarabu
👇
Screenshot_20220612-082629.jpg
 
Kama mtakumbuka huyu jamaa alikuwa ndie mkuu wa maliasiri na wanyama pori miaka ya 1990 akafanya uhuni na kuhirikiana na Mzee Mwinyi wakamuuzia ardhi mwarabu
👇View attachment 2257928
R.I.P yule mwandishi wa gazeti la Motomoto Bwana Stan Katabalo..!!! Gazeti lake lilikuwa la kwanza kuripot hili jambo, gazeti LIKAFUNGIWA na yeye AKASEPESHWA FASTA
 
kuondoa udhalimu hakuhitaji kujua haki za msingi za kikatiba na mifano juu ya hilo ipo mingi sana

South Africa walikinukisha dhidi ya Makaburu na kikanuka kweli kweli japo majority walikuwa wamenyimwa elimu ya msingi kujua haki zao the same to Islamic brotherhood kule Egypt

kikubwa kinachokosekana hapa Tanzania ni ukosefu wa serious Management ya kusimamia mchakato wa kuitoa CCM Madarakani na tuache kisingizio sijui cha Katiba mpya sijui Tume huru sijui Vyombo vya dola


Tujiulize ndani ya miaka 30 ya mfumo wa Vyama vingi ni mara ngapi Jamii iliamini na ku support wapinzani na hao hao wapinzani wakasaliti dhamira zao za awali

rejea ya Wapinzani wote wakubwa Tanzania tangu mfumo wa vyama vingi kurudi hakuna ambae hajawavunja moyo Raia

Lipumba, Mrema, Mbowe, Slaa, Zitto, Mbatia, Lowassa, Sumaye, Membe, Marando, n.k

matendo yao mengi yamefanya jamii ijione inatumika na ndio sababu imewapuuza na hata wao wanajua


Kwa mfumo wa elimu ya Tanzania naiona CCM bado itaendelea kuwepo sana .

Ukitaka kujua hilo wakusanye watanzania 10 waulize tu haki zao 5 za msingi kikatiba ni zipi .
 
kuondoa udhalimu hakuhitaji kujua haki za msingi za kikatiba na mifano juu ya hilo ipo mingi sana

South Africa walikinukisha dhidi ya Makaburu na kikanuka kweli kweli japo majority walikuwa wamenyimwa elimu ya msingi kujua haki zao the same to Islamic brotherhood kule Egypt

kikubwa kinachokosekana hapa Tanzania ni ukosefu wa serious Management ya kusimamia mchakato wa kuitoa CCM Madarakani na tuache kisingizio sijui cha Katiba mpya sijui Tume huru sijui Vyombo vya dola


Tujiulize ndani ya miaka 30 ya mfumo wa Vyama vingi ni mara ngapi Jamii iliamini na ku support wapinzani na hao hao wapinzani wakasaliti dhamira zao za awali

rejea ya Wapinzani wote wakubwa Tanzania tangu mfumo wa vyama vingi kurudi hakuna ambae hajawavunja moyo Raia
Nakubaliana na wewe ila bado naamini watu kuzijua haki zao ni msingi mkubwa sana wa kuamka na kujua wanapelekwa gizani.

Awamu iliyopita ilitumia mwanya huu kufanya chochote , popote na bila kuulizwa na yeyote
 
wa Tanzania by nature hayuko serious hata hiyo Elimu ikitolewa itapuuzwa tu
Nakubaliana na wewe ila bado naamini watu kuzijua haki zao ni msingi mkubwa sana wa kuamka na kujua wanapelekwa gizani.

Awamu iliyopita ilitumia mwanya huu kufanya chochote , popote na bila kuulizwa na yeyote
 
Hakuna mwanasiasa mwema mwenye nguvu ya mageuzo akasalia salama. Akisalia jua tayar bahasha.
 
Hapo zamani kuna baadhi ya nchi wakiona kizazi ni cha nyoka wanakimaliza. .
 
kuondoa udhalimu hakuhitaji kujua haki za msingi za kikatiba na mifano juu ya hilo ipo mingi sana

South Africa walikinukisha dhidi ya Makaburu na kikanuka kweli kweli japo majority walikuwa wamenyimwa elimu ya msingi kujua haki zao the same to Islamic brotherhood kule Egypt

kikubwa kinachokosekana hapa Tanzania ni ukosefu wa serious Management ya kusimamia mchakato wa kuitoa CCM Madarakani na tuache kisingizio sijui cha Katiba mpya sijui Tume huru sijui Vyombo vya dola


Tujiulize ndani ya miaka 30 ya mfumo wa Vyama vingi ni mara ngapi Jamii iliamini na ku support wapinzani na hao hao wapinzani wakasaliti dhamira zao za awali

rejea ya Wapinzani wote wakubwa Tanzania tangu mfumo wa vyama vingi kurudi hakuna ambae hajawavunja moyo Raia

Lipumba, Mrema, Mbowe, Slaa, Zitto, Mbatia, Lowassa, Sumaye, Membe, Marando, n.k

matendo yao mengi yamefanya jamii ijione inatumika na ndio sababu imewapuuza na hata wao wanajua
Asante 👍
 
Nakubaliana na wewe ila bado naamini watu kuzijua haki zao ni msingi mkubwa sana wa kuamka na kujua wanapelekwa gizani.

Awamu iliyopita ilitumia mwanya huu kufanya chochote , popote na bila kuulizwa na yeyote
Kweli kabisa 👍
 
wa Tanzania by nature hayuko serious hata hiyo Elimu ikitolewa itapuuzwa tu
Pia WATANZANIA wengi kwa asili tuna uoga wa kipumbavu tena Sana wakushindwa kudai haki zetu kwa wingi tukitegemea watu wachache watupiganie wakati sote tunahitaji kujipigani.
#HII DHAMBI HAITAMUACHA SALAMA MWALIMU HUKO HUKO ALIPO ITAENDELEA KUMTESA TENA SANA 😡
 
Walimroga?
Stan Katabalo alikufa kifo cha ghafla ambacho wengi waliibashiri katupiwa jini kwenye droo ya meza. Lakini ni kazi ya wasiojilikana na sumu Yao maarufu ya pollium iliyowekwa mahali Fulani ofisini alipopendelea kugusa kama ilivyokuwa Kwa Mwakyembe.
 
Back
Top Bottom