Yuko wapi Mr Blue?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Namuulizia huyu dogo anaetumia jina la usanii kama mr blue,yuko wapi na anafanya nini?maana longtime sana sijamsikia tangu atoke na ile ngoma yake ya tilalila.
 
kumbe jirani....mi nipo nyichoka....basi ukishampata blue....ulizia na TID yupo wapi.....wamepotea sana hawa....

me niko hapa kiabakari,ukishaambiwa walipo hao watu uni PM!
 
kumbe jirani....mi nipo nyichoka....basi ukishampata blue....ulizia na TID yupo wapi.....wamepotea sana hawa....

wakipatikana hao... mtuletee na Bushoke
 
Namuulizia huyu dogo anaetumia jina la usanii kama mr blue,yuko wapi na anafanya nini?maana longtime sana sijamsikia tangu atoke na ile ngoma yake ya tilalila.
mr blue yuko busy analea amekuwa baba...ataki kutelekeza kama walivyo vijana wengine..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…