Ndiyo maana basi huwa ana date na wanawake wenye sura za baba zaochege hajamlamba huyo demu kwanza chege domo zege watu wa karibu wanadai
haaahaaaaNdiyo maana basi huwa ana date na wanawake wenye sura za baba zao
Yap, hizi camera sometimes zinadanganya, ukijaribu kumuangalia kwenye 'Uswazi Take-away' anaonekana bonge la TallHuyu dada cha ajabu haringi niliwahi muona coco beach walikua wanatengeneza kipindi na TBC nikafanya kumuongelesha mtoto yupo fresh hana pozi hata moja yani full kutoa ushirikiano...ila nilishangaa kumkuta kwamba ni mfupi..
Kama hajamlamba basi atakuwa falachege hajamlamba huyo demu kwanza chege domo zege watu wa karibu wanadai
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ndiyo maana basi huwa ana date na wanawake wenye sura za baba zao
Mmachame huyoKumbe Mchaga? Nilidhani kanda ya kati. Mana anahulka za sepetu...
Oooo kumbe!!!!Mmachame huyo
Hivi huyu mwanadada mrembo Malaika kaishia wapi? Wimbo wake wa sale sale nauelewa sana.
Au kaacha mziki.