Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

Rapa bora wa muda wote,Jamaa was good.Hivi kina FA na AY kwanini wasiwekeze kwenye hiki kipaji?
Au ndio roho mbaya!
 
Sawa Mkuu! Unaweza Kunijibu Haya Maswali Kama Unamjua O Ten Vizuri?? Na Unaifahamu Morogoro??
Unapajua Kwa Baki!?
Unamjua Wile Matajiri?
Unapafahamu Kwa Kina , BELE9, AFANDE SELE, SAMIRY,STAMINA, O TEN??
Unajua Vizuri Mahewa Record Ilipo???
Ukinijbu Haya Nitajua Kuwa Nabishana Na Nani!!
Otherwise Jibu Hoja Kwa Hoja Usipende Kubisha Vitu Usivyovijua!!
OTEN Yupo Moro! Anashinda Manzese Anashinda Na Kina Wanyoka! Jion Anakuja Kula Weed Kwa Baki!
Kama Mim Nadanganya Weka Mpunga Tukutane Hapa Kiwanda Cha Tumbaku Nikupeleke Ukapige Nae Picha.
Uyasemayo yote ni kweli. O 10 yupo Morogoro, na pia huwa anapatikana Kilakala ktk nyumba yao urithi. Na ana ndugu yake (Nyandindi Family) pale CRDB Morogoro - Masika Mt. Ngoto, walau kidogo yule jamaa alikuwa "anamlinda" nae yakamshinda!
 
Back
Top Bottom