Ndo wew nin afande sele wa kubet [emoji23][emoji23]Unaunguza picha ujue!
kama anapenda kujirusha basi atakuwa anaitafuta sayari ya Mars sasa.......Napenda sana mademu....Napenda sana pombe yaaan kiufupi napenda kujirusha.....
Kwa mistari hiyo unategemea mtu kama huyo awe wapi muda huu?
Kaka hapo Kingston umenikumbusha mbali sana. Ningetaja members wa Kingston ungeshanijua!
Squeezer na homeboy wake Isack! Hawa nilikuwa mbele yao Moro Sec. Wakati huo pale Montuary kuna chaka, "wamefanya sana fujo"!
!
Hahahaha noma Sana Sana.... Nimemtaja mmoja juu pale Okwokwo. Alikuwepo hunter, Sqeezer kashinda pale, aaaah sikumbuki kama Solar power alikuwa anashinda sana
bwana ,We utakuwa ni mfalme wa rhymes tu,nimekustukia na mimi
Sio fresh kutibua mingo za watuNdo wew nin afande sele wa kubet [emoji23][emoji23]
HahahahaSawa Mkuu! Unaweza Kunijibu Haya Maswali Kama Unamjua O Ten Vizuri?? Na Unaifahamu Morogoro??
Unapajua Kwa Baki!?
Unamjua Wile Matajiri?
Unapafahamu Kwa Kina , BELE9, AFANDE SELE, SAMIRY,STAMINA, O TEN??
Unajua Vizuri Mahewa Record Ilipo???
Ukinijbu Haya Nitajua Kuwa Nabishana Na Nani!!
Otherwise Jibu Hoja Kwa Hoja Usipende Kubisha Vitu Usivyovijua!!
OTEN Yupo Moro! Anashinda Manzese Anashinda Na Kina Wanyoka! Jion Anakuja Kula Weed Kwa Baki!
Kama Mim Nadanganya Weka Mpunga Tukutane Hapa Kiwanda Cha Tumbaku Nikupeleke Ukapige Nae Picha.
Squeezer na homeboy wake Isack! Hawa nilikuwa mbele yao Moro Sec. Wakati huo pale Montuary kuna chaka, "wamefanya sana fujo"
Haaa. Haaa. Haaa. Huu Uzi noma. Umenikutanisha na ndg zangu wa Morogoro kitambo, weee Mhenga wewe! Mango Garden ya Innocent Kalogeres! Hao ote uliowataja nawakumbuka mkuu! Wakati huo pale Masuka Village alikokuwa anafanya mazoezi Puzo Lee ya kunyanyua chuma kulikuwa na mbabe anaitwa DAMME!!
!
Kwa ukongwe huo wa kitambo hicho bila shaka akina Puzo Lee, Zi Don pee, kina Nash G, Mc Ndollo, Papo D na maswala yote ya Disko na mashindano ya kurap Rock garden, Mango Garden pamoja na Morogoro hotel shimoni sio mgeni
Noma sanaaaa hiii ngoma umenikumbushaaaa mbali sana mkuu....regional commisioner iyo...dahhh....mimi ni mkuu wa mkoa niko juu zaidi ya Mayor mimi ni kama baba mwenye familia nalea,...nilikuwa namkubali sana jamaa nilikuwa napenda ambavyo hafichi kitu mfano alipomtaja Afande kama adui yake, kiakili za kipindi kile niliamini ndo Hip Hop, jamaa anaweza Mungu amponye ili arudi tena.
Jamaa anaweza sana, sema ndo hivyo tu system iko corrupt, mtu angeweza kupiga pesa hata kama haimbi tenaNoma sanaaaa hiii ngoma umenikumbushaaaa mbali sana mkuu....regional commisioner iyo...dahhh
Haaa. Haaa. Haaa. Huu Uzi noma. Umenikutanisha na ndg zangu wa Morogoro kitambo, weee Mhenga wewe! Mango Garden ya Innocent Kalogeres! Hao ote uliowataja nawakumbuka mkuu! Wakati huo pale Masuka Village alikokuwa anafanya mazoezi Puzo Lee ya kunyanyua chuma kulikuwa na mbabe anaitwa DAMME!
[emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji7]Yah! Bro Last time nilimkuta office za Premier Betting Pale Sabasaba! Alikuwa Ana Claim Mkeka Wake Umeshinda Anachelewa Kulipwa!!!
Poa mwana tuko pamoja.Mmmmh!, huo ubini wangu ndio umekusaidia kuniotea mkuu, wewe ni mtu wa pili kunijua humu, umetisha kwani hadi nickname la utotoni umelitaja,