Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

....Napenda sana mademu....Napenda sana pombe yaaan kiufupi napenda kujirusha.....

Kwa mistari hiyo unategemea mtu kama huyo awe wapi muda huu?
kama anapenda kujirusha basi atakuwa anaitafuta sayari ya Mars sasa...
 
Watu wa Moro mnafurahisha. Hivi Moro pale kuna jiji au kijiji? Haiwezekani watu mnadukuana fasta hivyo wakati mpo nyuma ya keyboard.
 
Sawa Mkuu! Unaweza Kunijibu Haya Maswali Kama Unamjua O Ten Vizuri?? Na Unaifahamu Morogoro??
Unapajua Kwa Baki!?
Unamjua Wile Matajiri?
Unapafahamu Kwa Kina , BELE9, AFANDE SELE, SAMIRY,STAMINA, O TEN??
Unajua Vizuri Mahewa Record Ilipo???
Ukinijbu Haya Nitajua Kuwa Nabishana Na Nani!!
Otherwise Jibu Hoja Kwa Hoja Usipende Kubisha Vitu Usivyovijua!!
OTEN Yupo Moro! Anashinda Manzese Anashinda Na Kina Wanyoka! Jion Anakuja Kula Weed Kwa Baki!
Kama Mim Nadanganya Weka Mpunga Tukutane Hapa Kiwanda Cha Tumbaku Nikupeleke Ukapige Nae Picha.
Hahahaha
 
Hahahaaaaaaaa,basi Mkuu,ila utakuwa wa mji kasoro meli wewe
 
Squeezer na homeboy wake Isack! Hawa nilikuwa mbele yao Moro Sec. Wakati huo pale Montuary kuna chaka, "wamefanya sana fujo"


!
!
Kwa ukongwe huo wa kitambo hicho bila shaka akina Puzo Lee, Zi Don pee, kina Nash G, Mc Ndollo, Papo D na maswala yote ya Disko na mashindano ya kurap Rock garden, Mango Garden pamoja na Morogoro hotel shimoni sio mgeni
 
!
!
Kwa ukongwe huo wa kitambo hicho bila shaka akina Puzo Lee, Zi Don pee, kina Nash G, Mc Ndollo, Papo D na maswala yote ya Disko na mashindano ya kurap Rock garden, Mango Garden pamoja na Morogoro hotel shimoni sio mgeni
Haaa. Haaa. Haaa. Huu Uzi noma. Umenikutanisha na ndg zangu wa Morogoro kitambo, weee Mhenga wewe! Mango Garden ya Innocent Kalogeres! Hao ote uliowataja nawakumbuka mkuu! Wakati huo pale Masuka Village alikokuwa anafanya mazoezi Puzo Lee ya kunyanyua chuma kulikuwa na mbabe anaitwa DAMME!
 
....mimi ni mkuu wa mkoa niko juu zaidi ya Mayor mimi ni kama baba mwenye familia nalea,...nilikuwa namkubali sana jamaa nilikuwa napenda ambavyo hafichi kitu mfano alipomtaja Afande kama adui yake, kiakili za kipindi kile niliamini ndo Hip Hop, jamaa anaweza Mungu amponye ili arudi tena.
Noma sanaaaa hiii ngoma umenikumbushaaaa mbali sana mkuu....regional commisioner iyo...dahhh
 
Haaa. Haaa. Haaa. Huu Uzi noma. Umenikutanisha na ndg zangu wa Morogoro kitambo, weee Mhenga wewe! Mango Garden ya Innocent Kalogeres! Hao ote uliowataja nawakumbuka mkuu! Wakati huo pale Masuka Village alikokuwa anafanya mazoezi Puzo Lee ya kunyanyua chuma kulikuwa na mbabe anaitwa DAMME!


!
!
Umetisha mno. Kipindi hicho hadi hawa kina [HASHTAG]#twoproud[/HASHTAG] wanakuja kupaform Forest hill Sekondari hahaha watoto wazuri hostel kwa [HASHTAG]#Mwambange[/HASHTAG] kule chini maliasili sio na ubrazaduu ni kucheza kikapu. Ni shida kubwa mzee. Tumetawanyika mnoo
 
Mfukoni nna kama M flani na upuuzi wakati miaka ile milioni unanua kiwanja tegeta stahehe mbaya aisee
 
Back
Top Bottom