Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

Tatizo vijana hupenda maisha ya kucopy ndio yale unakuta demu kaazima nguo anaenda kutana na mchizi kaazima gari dizain ya kina O kumi
 
Toka nianze kusoma sijawahi kufaulu
Hata nikiwa class napiga tu mitindo huru.
Mimi ni mkuu wa mkoa nipo juu zaidi ya meya,Mimi ni Kama baba kwenye family nalea
Mimi ni kama king ,Niko juu zaidi ya Queen .eya eya,,niite regional Commissioner!;
ECT
 
Inategemea definition yako ya Ushua! By then mama Gk alikua mhadhiri tu CBE amepata hela kwenye Ubunge miaka ya karibuni lakini kwa wakati ule ilikua familia ya kawaida tu yenye uhakika wa kula na kuvaa ila tulikariri wakazi wa Upanga wana hela
Kumbe yule mama alitoka CBE na ni mbunge sasa ivi?
 
Watu wa Moro mnafurahisha. Hivi Moro pale kuna jiji au kijiji? Haiwezekani watu mnadukuana fasta hivyo wakati mpo nyuma ya keyboard.
[emoji1] [emoji1] unaitwa mji kasoro bahari mkuu.
 
Inategemea definition yako ya Ushua! By then mama Gk alikua mhadhiri tu CBE amepata hela kwenye Ubunge miaka ya karibuni lakini kwa wakati ule ilikua familia ya kawaida tu yenye uhakika wa kula na kuvaa ila tulikariri wakazi wa Upanga wana hela
Mkuu Gk familia yake haikuwa vibaya tangu kitambo, baba yake Kwa sasa ni marehemu aliwahi kuwa waziri.
 
Mimi ninapendwa namademu mm nachukiwa nawauni..mimi ninapendwa na wajanjaa sipendwi na wajinga nachukiwa nawazembee mm...
 
!
!
Umetisha mno. Kipindi hicho hadi hawa kina [HASHTAG]#twoproud[/HASHTAG] wanakuja kupaform Forest hill Sekondari hahaha watoto wazuri hostel kwa [HASHTAG]#Mwambange[/HASHTAG] kule chini maliasili sio na ubrazaduu ni kucheza kikapu. Ni shida kubwa mzee. Tumetawanyika mnoo
Mwambange tumbo tumbo[emoji2] [emoji2] [emoji2] huu uzi unanikumbusha Moro
 
Samahanini jamani. Kuna mwanamuziki wa bongo flava wa kipindi chetu sisi wahenga wa 30-40 alifariki na kuzikwa Dodoma miaka ya hivi karibuni. Nilifikiri ni O-Ten. Hebu nikumbusheni ni nani. Aliimba na Ray C "kama vipi vaa tutoke" Siwezi ku-google kwa sababu sikumbuki jina.
 
Samahanini jamani. Kuna mwanamuziki wa bongo flava wa kipindi chetu sisi wahenga wa 30-40 alifariki na kuzikwa Dodoma miaka ya hivi karibuni. Nilifikiri ni O-Ten. Hebu nikumbusheni ni nani. Aliimba na Ray C "kama vipi vaa tutoke" Siwezi ku-google kwa sababu sikumbuki jina.
Mez B
 
OTEN Yupo Morogoro Manzese! Muda Mwingi Anakujaga Kitaa Chetu Anakuja Kula Weed Na Wenzie! Inshort Kachoka Mbaya!!!!
Last time Walikuja Kubebwa Wala Weed Nae Akasombwa!! Ashukuliwe Braza Wile Matajiri Wa Mahewa Records Alienda Kumchomoa!!!
OTEN YUPO MORO NI MTEJA TU.
Kila Ninapomuona Naumia Sana! Asa Nikikumbuka Ile Nyimbo Aliyomponda Afande Sele! (Mimi), Sasa Hiv Wote Wamepotea! Afande Sele Nae Napishana Nae Kwenye Kubeti Tu!!!
INAUMANA sana
Duh!
Kweli maisha hayana fomla
 
Back
Top Bottom