Yuko wapi mtangazaji Sam Misago?

Wewe ndio unatakiwa ubainishe hivyo vyanzo vya mapato walivyonavyo wasafi!! Kwani tujuavyo sisi kwenye upande wa matangazo, wadhamini wamepunguza sana bajeti zao.
Ila mbinyo kwenye sekta nyingine umeathiri mpaka kwenye media. Mapato ya media yameshuka kiasi cha kupelekea media zipunguze bei ya matangazo ili kuvuta wateja.
 





Sio kweli wafanyakazi wa Eatv km wangekuwa awalipwi siwangekuwa wameacha kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…