Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
AsajizzleDaGreat,
bora kujilipua tu kusaka vya kwako mzee
bora kujilipua tu kusaka vya kwako mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa infomaVipindi vingine vya wasafi vinatarajiwa kuanza hivi karibuni tuvute subra kidogo tutamuona huko
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio mpango, utasota ila baadae utakaa sawa tuAsajizzleDaGreat,
bora kujilipua tu kusaka vya kwako mzee
Duuuh wamuongezee kwakipaji kipi kurembua n kuvaa mlegezoAmeacha kazi eatv, so tutarajie lolote popote kuanzia sasa. Za chini ya kapeti zinasema eti jamaa aliomba uongozi wamuongezee salary uongozi ukakataa jamaa akaamua kuchukua hamsini zake.
Hivi haiwezekani mtangazaji akihama kituo kimoja kwenda kituo kingine akawa anafanya kipindi tofauti na kule alikotoka!? Maana inaonekana kama vile wanahama na vipindi!? Je, hivi vipindi sio ubunifu wa kituo husika!? Mfano hawa wana Sports Headquarters na hawa wana Sports Arena. Yaani content unakuta ile ile. Sitashangaa kumuona Sam Misago kwenye FNL version ya Wasafi.
Hivi wasafi wanamapato kuliko wengine?!! Wale ni sifa tu kuendesha kituo cha tv/radio kwa mapato mengine!! Ila mwisho wasiku mambo hushindikanaWanalipa kutokana na mapato yao. Ukiona malipo hayatoshelezi unatafuta kwenye malisho bora zaidi. Maisha si lazima sehemu moja.
kwa nn ishindikane...?Hivi wasafi wanawazidi mapato EATV na CLOUDS
kama haiana maslahi mazuri ubaki kufanya nn..?kwahiyo sehemu ukikaa sana unatakiwa uondoke
hv unajua mapato ya hv vituo yanapatikana vp..?Hivi wasafi wanamapato kuliko wengine?!! Wale ni sifa tu kuendesha kituo cha tv/radio kwa mapato mengine!! Ila mwisho wasiku mambo hushindikana
hv unajua mapato ya hv vituo yanapatikana vp..?Hivi wasafi wanamapato kuliko wengine?!! Wale ni sifa tu kuendesha kituo cha tv/radio kwa mapato mengine!! Ila mwisho wasiku mambo hushindikana
Ameacha kazi eatv, so tutarajie lolote popote kuanzia sasa. Za chini ya kapeti zinasema eti jamaa aliomba uongozi wamuongezee salary uongozi ukakataa jamaa akaamua kuchukua hamsini zake.
Kumbe alianzia kwenye channel ya chama