Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikweli aisee hawaonekani humu kabisaLizaboni na biayetu, walisema watazikwa na Joni magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikweli aisee hawaonekani humu kabisaLizaboni na biayetu, walisema watazikwa na Joni magufuli
Combination ya chawa wa Jpm ilikua hatari sana.Sio kama hawa walamba asali wa sasa hakuna kitu kabisa.Kweli dunia duniara.
Selemaaaaaaaaaaaaaaaa.
huyu kijana alikuwa mpuuzi kweli kweli anasema Lisu atachomwa sindano ya sumu na anaangaliwa hivi hiv na kupewa ukuu wa wilaya!Amedump Id yule Kheri James mzee wa sindano za sumu.
Ndio huyo mtoto wa Mstaafu maarufu ?..🙄🙄🙄anaumwa moyo pia anatuhumiwa kushirikiana na bashite kupora range rover
Tanzania tumejaaliwa kuwa na wapuuzi.huyu kijana alikuwa mpuuzi kweli kweli anasema Lisu atachomwa sindano ya sumu na anaangaliwa hivi hiv na kupewa ukuu wa wilaya!
Usikute ni mwenyewe mwendazake kabisaLizaboni alikuwa matata Sana humu, alikera na kweli tukakereka kweli kweli. Yuko wapi , amepotea tangu Mwendazake azikwe. Yuko wapi mwamba Lizaboni?
Mwendazake huyu hapa johnthebaptistLizaboni na biayetu, walisema watazikwa na Joni magufuli
Vyote vinawezekana maana yule alikuwa kitukoUsikute ni mwenyewe mwendazake kabisa
Tasnia ya anga alikuwa njema sana mwamba. mala ya mwisho aliingia 21 August 2021Nikianzisha mada ya kutafuta watu humu nitamtafuta barafu yani huyu hata DM nimemtafuta lakini wapi. Zaidi ya mwaka sasa haonekani
Bibie naona unapenda kuropoka ovyo humu ukijadili waungwana bila ruksa yao.Ndo iko hivyo mkuu, unamkumbuka Ritz ? Yule alikuwa kwa ajili ya JK tu, JK kamaliza muda wake na yeye kamaliza kazi zake mtandaoni.
Na mimi mshenga mkuu.Wewe unajifanya unanijuq utadhani mke wangu basi taleta posa nyumbani uwe mke wa pili tukate mzizi wa fitna.
Mara ya mwisho Kawe Alumni kutokea JF ni November 2020. Yawezekana alifariki au alibadili ID baada ya kuona Magufuli ameiba uchaguzi wote wa 2020Kawe Alumni hakuwa anatukana hata achokozwe vipi
Kijani huwa ni mkakati maalum wala hawafi ila wanapotea endapo agenda yao imeisha. Na wengine uja na ID nyingineMara ya mwisho Kawe Alumni kutokea JF ni November 2020. Yawezekana alifariki au alibadili ID baada ya kuona Magufuli ameiba uchaguzi wote wa 2020