Yuko wapi mwana JF mwamba Lizaboni?

huyu kijana alikuwa mpuuzi kweli kweli anasema Lisu atachomwa sindano ya sumu na anaangaliwa hivi hiv na kupewa ukuu wa wilaya!
Tanzania tumejaaliwa kuwa na wapuuzi.
 
Mambo yake muachie mwenyewe, yasikuumize kichwa...
 
Ndo iko hivyo mkuu, unamkumbuka Ritz ? Yule alikuwa kwa ajili ya JK tu, JK kamaliza muda wake na yeye kamaliza kazi zake mtandaoni.
Bibie naona unapenda kuropoka ovyo humu ukijadili waungwana bila ruksa yao.
Tazama usijeletewa posa ukarusha ngumu hewani .
Wazee tunapenda kuongeza wake siku hizi.
 
Ndo iko hivyo mkuu, unamkumbuka Ritz ? Yule alikuwa kwa ajili ya JK tu, JK kamaliza muda wake na yeye kamaliza kazi zake mtandaoni.
Wewe unajifanya unanijuq utadhani mke wangu basi taleta posa nyumbani uwe mke wa pili tukate mzizi wa fitna.
 
Wewe unajifanya unanijuq utadhani mke wangu basi taleta posa nyumbani uwe mke wa pili tukate mzizi wa fitna.
Na mimi mshenga mkuu.
Lkn kwenye hio ndoa pilau hakuna manake huyo bi harusi kaisha fubaa. Mwanae wa kwanza miaka 35. Huyu ni chai ya rangi bila sukari na makopa tu yanatosha kuwa mahari yake.
 
Kawe Alumni hakuwa anatukana hata achokozwe vipi
Mara ya mwisho Kawe Alumni kutokea JF ni November 2020. Yawezekana alifariki au alibadili ID baada ya kuona Magufuli ameiba uchaguzi wote wa 2020
 
Mara ya mwisho Kawe Alumni kutokea JF ni November 2020. Yawezekana alifariki au alibadili ID baada ya kuona Magufuli ameiba uchaguzi wote wa 2020
Kijani huwa ni mkakati maalum wala hawafi ila wanapotea endapo agenda yao imeisha. Na wengine uja na ID nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…