Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Hahahaaaa!Wewe unajifanya unanijuq utadhani mke wangu basi taleta posa nyumbani uwe mke wa pili tukate mzizi wa fitna.
Bibie naona unapenda kuropoka ovyo humu ukijadili waungwana bila ruksa yao.
Tazama usijeletewa posa ukarusha ngumu hewani .
Wazee tunapenda kuongeza wake siku hizi.
Mmmh!! This has buffled me, you people seem to think alike, how is this possible?!Wewe unajifanya unanijuq utadhani mke wangu basi taleta posa nyumbani uwe mke wa pili tukate mzizi wa fitna.
Jingalao alikuwa na akili lakini alizidiwa na mkate anaopata.
Huenda lizaboni alikuwa polepole na biayetu alikuwa makondaYes, umenikumbusha Biayetu! Alikuwa na matusi ya kumtetea Jiwe usiombe! Wamekufa kabisa with different IDs I guess
Mmmh!! This has buffled me, you people seem to think alike, how is this possible?!
Inawezekanaje watu wawili wajibu komenti moja kwa maudhui yanayofanana?! Wonders shall never end.
Hii ni kwako kahtaan , inakuwaje unamjibia Ritz tena ukiwa umejaa ghadhabu kama kwamba nimekutaja wewe? Au wewe ndiye? Kama siye kwa nini ukasirike ilihali sijakutaja wewe?
Hebu niambie ndugu, au wewe ndiye mke mkubwa wa Ritz hivyo hutaki mie niwe mke mdogo? Unaogopa visa vya uke wenza? Sasa mimi nakubali posa ya Ritz niwe mke wa pili ili nije nikunyooshe mbwa wewe!
Nitanyooshwa vipi sasa ilihali mume atakuwa anashinda kwangu tu mimi si bado chombo kipya?! Huyo bi mkubwa kahtaan mume atakuwa anamsikia tu kwenye majira!Unataka mathnaaa siyo??!!
Sasa ukiwa mathnaa utanyoosha au wewe ndie utanyooshwa..!!
Maana wanawake wa kisukuma mnakuwaga na gubu Sana nyinyi...
Aaah wapi wewe...Nitanyooshwa vipi sasa ilihali mume atakuwa anashinda kwangu tu mimi si bado chombo kipya?! Huyo bi mkubwa kahtaan mume atakuwa anamsikia tu kwenye majira!
Hamna wewe, Kitu mnato.Aaah wapi wewe...
Chombo kipya? now days nyinyi kilometer odometer inakua imekimbia Sana nyinyi,si mnapenda maisha ya kitonga...
Teh teh teh.Mmmh!! This has buffled me, you people seem to think alike, how is this possible?!
Inawezekanaje watu wawili wajibu komenti moja kwa maudhui yanayofanana?! Wonders shall never end.
Hii ni kwako kahtaan , inakuwaje unamjibia Ritz tena ukiwa umejaa ghadhabu kama kwamba nimekutaja wewe? Au wewe ndiye? Kama siye kwa nini ukasirike ilihali sijakutaja wewe?
Hebu niambie ndugu, au wewe ndiye mke mkubwa wa Ritz hivyo hutaki mie niwe mke mdogo? Unaogopa visa vya uke wenza? Sasa mimi nakubali posa ya Ritz niwe mke wa pili ili nije nikunyooshe mbwa wewe!
Kamanda Big show.Aaah wapi wewe...
Chombo kipya? now days nyinyi kilometer odometer inakua imekimbia Sana nyinyi,si mnapenda maisha ya kitonga...
We ukiwa mnato dunia lzm ifike mwisho.Nitanyooshwa vipi sasa ilihali mume atakuwa anashinda kwangu tu mimi si bado chombo kipya?! Huyo bi mkubwa kahtaan mume atakuwa anamsikia tu kwenye majira!
Niombe msaada wa nini ili hali mumeo Ritz keshanipenda na ameahidi kuja kutoa posa niwe mke wa pili?. Na ninakwambia nitakunyoosha, utakuwa humuoni mumeo hadi mwezi unakatika.Teh teh teh.
Kawaida ya watoto vikojozi kuhara ovyo hadharani namna hii.
We binti mgeni humu JF. lkn unapenda saana kujamba mbele ya wanamme.
Km umekosa mme omba msaada. Sio kupayuka ovyo km kuna kitu kimenasa huko backside.
You'll ended up with early pregnancy nicompoop.