Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Kama jimbo liko wazi ni wakati muafaka wa kumfariji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewahi kukutana nae live mara 2 mitaa hiyo, kumbe ndo anakoishi.Yupo, anaishi changanyikeni.
PROF J piaSijui kwanini msanii akiimba kitu kinampata
PNC aliimba imebuma na akabuma
Ferooz starehe ,kweli starehe hazikumuacha salama
Q chillah kuhusu ndugu kweli alipokuwa drug addicted ndugu zake walimtupa .he was dumped
Kuandika na kuimba huwa kuna nguvu kubwa Sana. Spirituality
Nyimbo gani?PROF J pia
Kipi sikusikiaNyimbo gani?
Kipi sijasikia, featuring DiamondNyimbo gani?
Jamani wewe kaka,Yupo!
Unalia nini wakati kondomu zipo na umekataa kuzitumia.
Anza kutumia Arv tu hakuna namna
Kwa hiyo huyo jamaa ni msenge tena jamnHahahaha mseng.e sana we jamaa hahahaha watoto wa efu mbili hawawez kumjua
Tatizo kwetu mbagarrraaa - domo yuko mbagarrraaaa?Sijui kwanini msanii akiimba kitu kinampata
PNC aliimba imebuma na akabuma
Ferooz starehe ,kweli starehe hazikumuacha salama
Q chillah kuhusu ndugu kweli alipokuwa drug addicted ndugu zake walimtupa .he was dumped
Kuandika na kuimba huwa kuna nguvu kubwa Sana. Spirituality
Tatizo kwetu mbagarrraaa - domo yuko mbagarrraaaa?
Domo ni msanii?Tatizo kwetu mbagarrraaa - domo yuko mbagarrraaaa?
Domo = mondiDomo ni msanii?
Domo = mondi
OkSijamjua mkuu huyo msanii anayeitwa Domo
Von Bismarck AKA AIJUAE KESHO uko vizuriYupo!
Unalia nini wakati kondomu zipo na umekataa kuzitumia.
Anza kutumia Arv tu hakuna namna
Domokaya wewe haumjui kweli?Sijamjua mkuu huyo msanii anayeitwa Domo