Yuko wapi mwanadada Ruby?

Yuko wapi mwanadada Ruby?

Coke Zero

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
1,024
Reaction score
542
Mambo zenu wadau,

Ningependa kujua yule mwanadada machachari kabisa aliyetamba na kibao chake cha "Na yule" amepotelea wapi maana naona hasikiki kabisa siku hizi toka alivyotangaza kutoka mikononi mwa Clouds Media, ni kwamba amebuma kabisa kutokana na ukosefu wa promo au bado anajipanga kuja kumshinda Nandy.
8e097712713f37439d513e54514829e9.jpg
 
Back
Top Bottom