Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 535
Mkuu ina maana unaweza ukajikuta unakula ban sababu ya kumuulizia tu member flan!!?Kuuliza uliza kulinigharimu ban!
Hakika mkuu maana jamaa alikuwa on fire sanaππ eti sauli
Hapana, kuna mtu aliuliza mtu kupotea JF, nikajibu kuwa fulani kasema nitapotea kama fulani. Ikanighalimu kuwa nimequote kuwa fulani kafa!Mkuu ina maana unaweza ukajikuta unakula ban sababu ya kumuulizia tu member flan!!?
watoa ban si watu wazuri kabisaMkuu ina maana unaweza ukajikuta unakula ban sababu ya kumuulizia tu member flan!!?
Sawa mkuu ahsnte kwa mchango wako
Duh, lakini sini-verified user ? Naakiji mods wangepata taarifaKuna wakati walisema alitangulia mbele za haki, ila ni long time ago.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuuHapana, kuna mtu aliuliza mtu kupotea JF, nikajibu kuwa fulani kasema nitapotea kama fulani. Ikanighalimu kuwa nimequote kuwa fulani kafa!
Hongera kwake sema tumemiss sana zile ligi zake za kuwahi kureplySiku hizi ni moderator
It is never to late to begin. Start now
πππ sawa mkuuNimempa kazi ya kulinda / kuamia ndege anakaa kwenye kanyumba kaleeeee kwenye pichaView attachment 1431187
corona inaua, nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni
Labda lakini yule jamaa sio mtu wa kukaa kimya bila kuchangia mada kwenye uzi. Anyway watu tunabadilika mkuu inaweza kuwa hivyo piaYupo labda tu huwa anapita kimya kimya au yupo busy.
Usikarii mambo mkuu. Ni uamuzi kuchangia au kutochangia.Labda lakini yule jamaa sio mtu wa kukaa kimya bila kuchangia mada kwenye uzi. Anyway watu tunabadilika mkuu inaweza kuwa hivyo pia
Najua mkuu ndo maana nikakwambia hapo watu hubadilika mkuuUsikarii mambo mkuu. Ni uamuzi kuchangia au kutochangia.