Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
UlimfanyajeFacebook hayupo? maana mimi aliniblock kipindi kile cha uchaguzi.
Hata Mimi aliniblock yula mwana mama alikuwaga hataki kumkosoa kwenye post zakeFacebook hayupo? maana mimi aliniblock kipindi kile cha uchaguzi.
Siku hizi yupo busy kulamba viatu vya watawalaHuyu mwandishi ni binti mdogo aliwahikuandikia gazeti la Tanzania Daima kabla ya 'Miayo' na manyang'au kumkimbiza.
Alitabiriwa na Anton Lusekelo kuwa asingefika mwezi may 2017.
Ni muda sasa sijamsikia Happiness Katabazi. Yupo wapi? Anafanya nini? Au lile JUGNA kama alilopigwa Mtulia limemfikia?
@malimi jr huyo hapo.Sema anajipaka mavipodozi mpaka anakuwa kama kinyago,hawa watoto wetu inabidi wajirembe kwa kiasi.
Na ana tatizo la kutaka ajulikana kuwa anafahamika na kila mtu
Mungu wangu kidogo ndondoshe Device yangu chini aiseeeee!!!!!!!!! nimeogopa
Daah!!!Na hiyo pembeni ni tatoo?Hawa mabinti zetu hawa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah aisee we jamaa ndio unawapa sababu wale wamikoani kudharau sisi wa Dar. Mtoto mzuri hivyo unasema umeogopa?usitufanyie hivyo kijana wetuMungu wangu kidogo ndondoshe Device yangu chini aiseeeee!!!!!!!!! nimeogopa
Hahaaa!!!!! Hii makeup si ya nchi hii aisee nilidhani wale mafarao wa zamani wamerudi!!!! (mama farao)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah aisee we jamaa ndio unawapa sababu wale wamikoani kudharau sisi wa Dar. Mtoto mzuri hivyo unasema umeogopa?usitufanyie hivyo kijana wetu
Eeeh usiogope mkuuMungu wangu kidogo ndondoshe Device yangu chini aiseeeee!!!!!!!!! nimeogopa