Akafanye nini kwenye chama kilicho kusudia kumfukuza uanachama?Mzee wetu sijamuoma kwenye matukio ya kitaifa ya karibuni, kuanzia misiba mpaka matukio ya huko Makao Makuu.
Yuko nchini?
Wewe jamaa una akili kama za sungura mjanja na hapa wengi watatoka kapa.Najaribu kukumbuka Peter Ndolvu alikuwa na umaarufu gani?
Kweli akae na wajukuu tuHawezi kukubali.
Ule ukatibu Mkuu alibembelezwa sana lakini alishaamua kukaa na wajukuu zake
Vipi ile kesi ambayo chadema walimpa ya ujangili bado anayo?Mwache apumzike vijana wa ccm mmemdharau na kumtukana sana kwa awamu iliopita
Ndo yeye aliyesema ATCL inapata faida wkt imetengeneza hasara kwa miaka 5?Poacher
Ni yeye alikuwa anapandisha twiga ndege na makontena waliondoka nayo ChinaNdo yeye aliyesema ATCL inapata faida wkt imetengeneza hasara kwa miaka 5?
Huku akijijengea na uwanja kijijini kwao.Ni yeye alikuwa anapandisha twiga ndege na makontena waliondoka nayo China