Yuko wapi Mzee Kinana?

Yuko wapi Mzee Kinana?

Soma Ishara Na Alama Taratibu
Mwanri Alisema Fyekelea Fyekelea Mbali
😀😁😂😃😄😄😅😆😆😅😄😃😂😀
 
Mzee wetu sijamuoma kwenye matukio ya kitaifa ya karibuni, kuanzia misiba mpaka matukio ya huko Makao Makuu.

Yuko nchini?
Akafanye nini kwenye chama kilicho kusudia kumfukuza uanachama?
 
Back
Top Bottom