Yuko wapi Nancy Mitikiso Salamba?

Yuko wapi Nancy Mitikiso Salamba?

Nancy mitikisiko alikua balaa,ile blog ailiiacha kama pango tu baada ya sheria ya makosa ya mtandao kupitishwa rasmi nae akatangaza kuachana nayo..

Kuna wazir aliwahi kumtumia hela ya laptop mpya milion 4 ili aendelee kushusha vitu ni baada ya kwake kuharibika nadhan
 
Raha tupu sio ! Enzi niko advance ninamiliki Nokia express music, nilikuwa nipo tayari kijinyima ili ninunue vocha niweze kufungua opera mini nikapate vitu ,,, ! Nakumbuka walokuwa na simu za kuingia Internet enzi hizo school boarding (uboizini) tulikuwa wachache,,,,kwa hio nilikuwa naweka vocha nawalipisha watu jero kwa lisaa, kwa siku sikosi hela ya kula mboga nzuri ama maandaz asbh na chai ,,,,!
hakuna kitu kibaya au kizuri kama chambia guzi(washenzi) wakiungana rahasana

Wahuni Wala hawachongei hayakusemelei kwa ticha nizamu Wala waden
 
Ilikuwa nikiingia Internet cafe natega screen ili nitumie dk kadhaa kuzama kwenye pilau la rahatupu. Noma sana!!
 
Back
Top Bottom