Yuko wapi Nancy Mitikiso Salamba?

Nancy mitikisiko alikua balaa,ile blog ailiiacha kama pango tu baada ya sheria ya makosa ya mtandao kupitishwa rasmi nae akatangaza kuachana nayo..

Kuna wazir aliwahi kumtumia hela ya laptop mpya milion 4 ili aendelee kushusha vitu ni baada ya kwake kuharibika nadhan
 
hakuna kitu kibaya au kizuri kama chambia guzi(washenzi) wakiungana rahasana

Wahuni Wala hawachongei hayakusemelei kwa ticha nizamu Wala waden
 
Ilikuwa nikiingia Internet cafe natega screen ili nitumie dk kadhaa kuzama kwenye pilau la rahatupu. Noma sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…