Unaonekana ni mzoefu wa kugawa nyashi nicheki inbobo nikupatie hogo la jang'ombe kijana ujirambe rambeVipi unataka akakulawiti au vipi mkuu 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonekana ni mzoefu wa kugawa nyashi nicheki inbobo nikupatie hogo la jang'ombe kijana ujirambe rambeVipi unataka akakulawiti au vipi mkuu 😂😂😂
Kwa nchi hao wote watarudiTunajifunza kutokana na makosa
Mara nyingi kunyamaza ni bora zaidi
Wewe ni mke wake?Yupo JF anakusoma.
Nakuamini ulichosemaKwa nchi hao wote watarudi
Vyeo hivyo vinazunguka tu
Hao watakuja kurudi
Nchi mfumo ndiyo hao hao
Watoto wa fulani
Ova
Huyu waziri wa mambo ya nje tu sahv aliyeteuliwa ni mtoto wa thabit komboNakuamini ulichosema
Kwa nchi hii kuna list ambayo jina likitoka linawekwa tena chini
Hapo ni jinsi gani ya kulirudisha file Ikulu tu
Hapo ni kujikomba komba na hata simu kadhaa kutoka kwa ma elite
Inasikitisha sana na hawa watoto wanawaandaa vijana chipukizi wa chamaHuyu waziri wa mambo ya nje tu sahv aliyeteuliwa ni mtoto wa thabit kombo
Nchi hii ukiangalia wanaoteuliwa ni watoto wa fulani baba zao walishakuwa kwenye mfumo
Wakawachomeka watoto zao
Hao wote wakina nchimbi baba zao walikuwa kwenye mifumo
Ova
Kuteuliwaa mtoto wa kajamba nani labda ukalogeeeHuyu waziri wa mambo ya nje tu sahv aliyeteuliwa ni mtoto wa thabit kombo
Nchi hii ukiangalia wanaoteuliwa ni watoto wa fulani baba zao walishakuwa kwenye mfumo
Wakawachomeka watoto zao
Hao wote wakina nchimbi baba zao walikuwa kwenye mifumo
Ova
Anajipanga kufungia mtandao XYupo JF anakusoma.
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.Yupo JF anakusoma.
Yuko wapi Rishi Sunak?Tunajifunza kutokana na makosa
Mara nyingi kunyamaza ni bora zaidi
Ni kama kula tunda kimasikhara😅🤣Kuteuliwaa mtoto wa kajamba nani labda ukalogeee
Kimasiharaa nape katoweka mazimaa 😀 😀Ni kama kula tunda kimasikhara😅🤣
ukipandishaa mabega snaa ukahisii wew ndo alfa na omegaa aisee anguko lako ni baya sanaa... pombe sio mchezoo!Mawaziri wangapi wametenguliwa mpaka utake kumsikia Nape?
Huyo sio maza.Ila na wewe Samia kisa cha kuwatumbua hao jamaa ni nini?