Yuko wapi Nyani Ngabu?

Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
Wala!

Nakuhakikishia hatujuani kihivyo na nakuhakikishia hakuna ukweli hapo hata asilimia 1.

Anayenijua hawezi kusema mimi ni form 4.

Anayenijua hawezi kusema sina kwangu.

Anayenijua hawezi kudai nina mtoto mkubwa mwenye kuweza kuwa na mtoto.

Wanaojua hawasemi na wanaosema hawajui.

Ila moyo wangu umesuuzika sana. Kazi behind the scene imelipa.

Hayo mengineyo ni mazungumzo baada ya habari.

I’m super happy today. Kilichobaki ni kutekekeza tu sasa.
Kwani bado unaliendeleza? Naona kama umeridhika na roho yako!

Yaaan uko deep happy!
 
Nimeshindwa niandike nini.

But this ain't healthy to both of you.

You are way better than this.

It’s all good.

Nothing there is true.

It’s all sensationalism.

Just think for a minute. Do you actually think I have an old enough daughter who herself is of child bearing age? And that I’m hiding her? Can you hide a human being? Let alone your own flesh and blood?

Do you actually believe that I am a form four leaver?

I mean, come on now.....

Stuff like that don’t bother me one bit because it’s 100% calumny.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom