Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
watu wana fix hatari... atakuambia nipo Seacliff.... kumbe ndiyo yupo bar anahudumia vinywaji.

uzuri maisha yanaenda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Daby weye looohh!!!jamani kaahh!
 
Kwangu yashaisha humu. Hakuna cha kweli hata chembe!

Ila nimeishia kucheka na kujifunza mengi mapya kuhusu mimi!

Sikuwa najua kuwa sijijui teh teh teh!

Sina kwangu! Nimeishia form 4, niko babu kabisa, n.k.
Nyani nikuulize?
Kwa nini uliweka picha ya dina km avatar yako?huhisi kwamba ulifanya kitu kibaya sana?!!
 

Still...mshikaji hajafanya lolote baya.

Ila bila kujua kanisaidia saaana.

Sasa nina amani na kilichobaki kitaonekana.

Hayo mengine ni changamsha jamvi tu.
 
Nicheke tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…