Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
Hayaaa makubwa!

Ila nilichogundua nyie bado mnapendana tena sana!

I rest my case....tafutaneni muombane misamaha tuje kula pilau la harusi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]hili ndo lililobaki kusemwaa
 
Nimekujibu. Umeona?

Zaidi ya hapo sina jingine. I’m done with this bullshit. My mission is halfway accomplished.

Nyie endeleeni kuamini huo ujinga ujinga. Next time you see me it will be Ngabu the Don Dada.

Deuces.
Sawa kaka tumekuelewa vizuri sana
 

Umekwepa kuhusu yeye kuzungusha picha ya mzee aliyekwishafariki.

Umekwepa kwa makusudi au hujaona?

Stop taking sides when all you have is one sided bullshit. Kuna mengine mengi tu usiyoyajua.

Na hicho kidogo unachodhani unakijua ni uongo, uzushi, na ujinga ujinga tu.

I’m out for good.
 
nilikuwa namfafanulia madame ufix wa humu bhana....

wewe mwanamke wa shoka....
Mkuu mbona kuna mabarmaid ambao ni wanawake wa shoka

Kuna mmoja najua kajenga bonge la nyumba chanika na ana watoto wawili wapo shule nzur sana
 
Yaap kuhusu picha yaweza kua amesambaza yeye au hajasambaza yeye!.
How far do u sure she was the one duin that stupidity!!

Am not serious taking anybody's side broh!jus wanna know a little I heard!!!

Kumbuka humu wengi wanakujua wewe!!yawezekana wao ndo wamefanya hivyo pia ili kukugombanisha na Dina kwa sababu tayari mna quarrels u know!!!

Na kama amefanya hvyo yeye ngoja nimuulize pia hapa!!

Am sorry pia coz I do appreciate u!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…